• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI
HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Care Values
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu ya awali na Msingi
      • Kilima mifugo na umwagiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu Sekondary
      • Mipango na uratibu
      • Utawala na usimamizi wa Rasilimali watu
      • Viwanda biashara na Uwekezaji
      • Miundombinu ,Vijijini na Mjini
      • Huduma za Afya, Ustawi wa jamii na Lishe
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
        • Mawasiliano Serikalini
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • TEHAMA
      • Mkaguzi wa ndani
      • Usimamazi wa Manunuzi
      • Maliasili na uhifadhi wa Mazingira
      • Fedha na uhasibu
      • Usimamizi na usafi wa Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Elimu
    • Utumishi
    • Huhuma za Kisheria
    • Usafi wa mazingira na udhibiti wa taka ngumu
    • Michezo na Sanaa
  • Madiwani
    • Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipangomji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
      • Huduma za jamii
    • Ratiba za Vikao
      • Vikao vya Waheshimiwa
      • Kuonana na Meya
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
      • Miradi ya Sasa
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Picha
    • Hotuba
    • Gazeti la Mtandaoni
    • Vipeperushi
  • Mifumo

Hati ya makabidhiano ya majukumu ya KDA yakabidhiwa rasmi kwa Manispaa ya Kigamboni.

Posted on: April 17th, 2018

Uongozi wa iliyokuwa Mamlaka ya Uendelezaji wa mji wa Kigamboni  KDA(Kigamboni Development Agency) uliokuwa chini ya wizara ya radhi umekabidhi rasmi majukumu ya KDA  kwa Mkurugenzi wa Manispaa ya Kigamboni tarehe 17/4/2018 ikiwa ni utekelezaji wa agizo la Serikali lililotolewa  13 septemba 2017 baada ya Rais Dk. John Pombe Magufuli kuvunja rasmi wakala wa uendelezaji wa mji Kigamboni.

Akikabidhi majukumu hayo aliyekuwa Mkurugenzi wa KDA (Kigamboni Development Agency) Bw.Dismas.W.Minja amesema kuwa ndani ya kipindi cha miezi sita walitakiwa kuwa wamekabidhi majukumu na wamefanya hivyo kwa muda uliopangwa.

Aidha amesema kuwa KDA uendeshwaji wake ulikuwa chini ya Wizara ya ardhi hivyo watakabidhi hati ya makabidhiano ya majukumu ya KDA pamoja na viambatanisho vyake.

Aliongeza kuwepo kwa  ushirikiano  baina ya Wizara ya Ardhi na Manispaa ya Kigamboni Katika kupanga, kupima na kumilikisha Ardhi ya Kigamboni kwa kuzingatia sheria, kanuni na taratibuzilizopo

Kwa upande wake Meya wa Manispaa ya Kigamboni Mh. Maabad Hoja aliwashukuru  uongozi wa KDA kwa kukabidhi majukumu hayo kwa muda uliopangwa na kuwaomba kuwapokea pindi watakapohitaji msaada zaidi kutoka kwao.

Makabidhiano hayo yalifanyika kwenye ukumbi wa mikutano uliopo Wizara ya Ardhi na kuhudhuliwa na wataalamu mbalimbali wa ardhi  kutoka Manispaa ya Kigamboni .

Kaimu Katibu Mkuu wizara ya Ardhi Bi. Immaculata Senje wa kwanza Kushoto , akifuatiwa na Meya wa Manispa ya kigamboni Mh. Maabad Hoja na Kaimu Mkurugenzi wa Manispaa ya Kigamboni Bi.Nice Mwakalinga wakisoma kwa makini Hati ya makabidhianoa ya majukumu ya KDA kabla ya makabidhiano.

Mstahiki Meya wa Manispaa ya Kigamboni akisaini hati ya makabidhiano ya majukumu ya KDA kabla ya kukabidhiwa

Aliyekuwa Mkurugenzi wa KDA Bw.Dismas W.Minja akisoma kwa ufupi Hati ya makabidhiano ya majukumu ya KDA kabla ya kukabidhi kwa viongozi.

Kaimu Katibu Mkuu wa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Bi.immaculata Senje kushoto akipokea Hati ya makabidhiano ya majukumu ya KDA kutoka kwa aliyekuwa Mkurugenzi wa KDA Bw.Dismas Minja

Kaimu Mkurugenzi Bi.Nice Mwakalinga kushoto akipokea hati ya makabidhiano ya majukumu ya KDA kutoka kwa alyekuwa Mkurugenzi wa KDA

Mstahiki Meya wa Manispaa ya Kigamboni Mh.Maabad Hoja kushoto akipokea hati ya makabidhiano ya majukumu ya KDA kutoka kwa aliyekuwa mkurugenzi wa KDA

Baadhi ya maandiko ambayo ni viambatanisho vinavyokabidhiwa kwa Manispaa ya Kigamboni

Mstahiki Meya wa Manispaa ya Kigamboni Mh. Maabad Hoja akitazama moja ya kiambatanisho kinachokabidhiwa na KDA
Baadhi ya viambata vilivyokabidhiwa na KDA

Matangazo

  • Tangazo la Frem za Biashara, Soko la Kibada February 26, 2025
  • Tangazo la kuitwa kwenye usaili nafasi ya mwendesha mashine ya Bayometriki na Mwandishi msaidizi February 24, 2025
  • Tangazo la uteuzi wa wajumbe wa bodi ya Afya March 26, 2025
  • Tangazo la kuitwa kazini nafasi ya mwendesha mashine ya Bayometriki na Mwandishi msaidizi March 12, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RAIS WA ZANZIBAR NA MWENYEKITI WA BARAZA LA MAPINDUZI MHE. DKT. HUSSEIN ALI MWINYI AMEWEKA JIWE LA MSINGI UJENZI WA BARABARA YA KIBADA - MWASONGA

    April 25, 2025
  • MANISPAA YA KIGAMBONI IMEPOKEA VITI MWENDO 35 NYENYE THAMANI YA TSH MIL 8

    April 08, 2025
  • MKANDARASI TOKA SUMA JKT ATAKIWA KUANZA MAPEMA MAANDALIZI YA UJENZI WA KITUO CHA AFYA CHA TUNGI

    April 08, 2025
  • Mwenyekiti wa Tume Huru ya Uchaguzi Tanzania, Jaji wa Rufaa Mhe. Jacobs Mwambegele amefanya ziara ndani ya Manispaa ya Kigamboni

    March 22, 2025
  • Angalia Zote

Video

Makala maalumu ya utekelezaji wa Miradi ya maendeleo ndani ya Manispaa ya Kigamboni
Video zingine

Kurasa za karibu

  • Municipal councilors
  • Kigamboni Municipal History
  • Investment Opportunities
  • Fomu ya Maombi ya Kiwanja
  • Huduma za Afya na Orodha ya Vituo vya kutolea Huduma za Afya

Kurasa Mashuhuri

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • President's Office Regional Administration and Local Government
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani

Wasiliana Nasi

    Gezaulole Kata ya Somangila, Kigamboni

    Anuani ya Posta: 36009 Dar es Salaam

    Simu: +255222928468

    Simu ya Mkononi: +255222928468

    Bara pepe: info@kigambonimc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki©2017 Manispaa ya Kigamboni . Haki zote Zimehifadhiwa