• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI
HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Livestock na Fisheries
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu Sekondary
      • Fedha na Biashara
      • Mipango, Takwimu na Ufatiliaji
      • Utumishi na Utawala
      • Maji
      • Mipango Mija na Maendeleo ya Ardhi
      • Afya
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Elimu
    • Maji
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipangomji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba za Vikao
      • Vikao vya Waheshimiwa
      • Kuonana na Meya
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi ya Sasa
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Umma
    • Picha za Video
    • Hotuba Mbalimbali
    • Picha

Katibu Tawala akabidhi mifuko 197 ya sementi kwa shule ikiwa ni ahadi ya DC Sara.

Posted on: June 22nd, 2021

Aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Kigamboni Mhe. Sara Msafairi kupitia katibu tawala wa Wilaya Dalmia Mkiaya leo ametimiza ahadi ya kutoa mifuko ya sementi 197 ikiwa ni utekelezaji wa ahadi yake aliyoitoa kabla ya kuhamishwa kituo cha kazi pindi alipokuwa akifanya ziara ya kikazi ya kutembelea Shule za Msingi na Sekondari ili kutazama miundombinu yake na kuona namna kuimarisha.


Katibu Tawala wa Wilaya Dalmia Mikaya amesema kuwa wanatamani sekta ya Elimu Kigamboni ipige hatua na ndiomaana ilimpendeza Mkuu wa Wilaya kuhakikisha anatafta namna ya kupata sementi zitakazowezesha kuboresha miundombinu ya shule kwa kufanya ukarabati wa maeneo mbalimbali kulingana na uhitaji wa shule husika.


Aidha amewataka walimu wa shule za Msingi na Sekondari waliofika kuchukua sementi hizo kuzitumia kulingana na mahitaji waliyoombea na kuhakikisha pia wanasimamia vyema miundombinu ya Shule ikiwa ni pamoja na kusimamia vyema fedha wanazopokea kwa miradi ya maendeleo katika Shule zao.


Jumla ya mifuko 197 imekabidhiwa ambapo Shule za msingi imepata jumla ya mifuko 137 na ukabidhiwa  kwa shule 7 ambapo kila shule imepata mifuko 20 isipokuwa shule moja iliyopata mifuko 17, Mifuko 60 imekabidhiwa kwa shule 3 za sekondari ambapo kila shule imepata mifuko 20.


Katibu tawala amesema kuwa ofisi ya Mkuu wa Wilaya bado itaendelea na jitihada za kuchangia maendeleo ya Elimu na maeneo mengine  kwa kadri watakavyokuwa wanapokea misaada kutoka kwa wadau mbalimbali.

Baadhi ya mifuko ya Sementi iliyokabidhiwa.



Matangazo

  • Namba za simu za Wakuu wa Idara Manispaa ya Kigamboni July 04, 2022
  • Tangazo la kuitwa kazini July 12, 2022
  • Tangazo la kuitwa kazini July 12, 2022
  • Tangazo la kuitwa kazini July 12, 2022
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • MAANDALIZI TAMASHA LA HAMASA YA SENSA YAWIVA

    August 11, 2022
  • JUHUDI ZA RAIS WA JAMHURI WA MUUNGANO WA TANZANIA KUINUA UTALII ZAUNGWA MKONO

    August 09, 2022
  • JUHUDI ZA RAIS WA JAMHURI WA MUUNGANO WA TANZANIA KUINUA UTALII ZAUNGWA MKONO

    August 09, 2022
  • WAJUMBE WA MENEJIMENTI YA MANISPAA YA KIGAMBONI WAUNGA MKONO JUHUDI ZA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIAIA

    August 07, 2022
  • Angalia Zote

Video

RC Makalla aipongeza Kigamboni kwa Hati safi miaka 5 mfululizo
Video zingine

Kurasa za karibu

  • Municipal councilors
  • Kigamboni Municipal History
  • Investment Opportunities
  • Fomu ya Maombi ya Kiwanja
  • Huduma za Afya na Orodha ya Vituo vya kutolea Huduma za Afya

Kurasa Mashuhuri

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • President's Office Regional Administration and Local Government
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani

Wasiliana Nasi

    Gezaulole Kata ya Somangila, Kigamboni

    Anuani ya Posta: 36009 Dar es Salaam

    Simu: +255222928468

    Simu ya Mkononi: +255222928468

    Bara pepe: info@kigambonimc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki©2017 Manispaa ya Kigamboni . Haki zote Zimehifadhiwa