• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI
HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Care Values
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu ya awali na Msingi
      • Kilima mifugo na umwagiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu Sekondary
      • Mipango na uratibu
      • Utawala na usimamizi wa Rasilimali watu
      • Viwanda biashara na Uwekezaji
      • Miundombinu ,Vijijini na Mjini
      • Huduma za Afya, Ustawi wa jamii na Lishe
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
        • Mawasiliano Serikalini
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • TEHAMA
      • Mkaguzi wa ndani
      • Usimamazi wa Manunuzi
      • Maliasili na uhifadhi wa Mazingira
      • Fedha na uhasibu
      • Usimamizi na usafi wa Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Elimu
    • Utumishi
    • Huhuma za Kisheria
    • Usafi wa mazingira na udhibiti wa taka ngumu
    • Michezo na Sanaa
  • Madiwani
    • Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipangomji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
      • Huduma za jamii
    • Ratiba za Vikao
      • Vikao vya Waheshimiwa
      • Kuonana na Meya
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
      • Miradi ya Sasa
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Picha
    • Hotuba
    • Gazeti la Mtandaoni
    • Vipeperushi
  • Mifumo

kamati ya Kudhibiti UKIMWI imepewa mafunzo ili kujengewa uwezo.

Posted on: April 1st, 2021

Kamati ya kudhibiti UKIMWI Manispaa ya Kigamboni  ikiongozwa na Mwenyekiti wake Mhe. Stephano Warioba leo imepewa mafunzo yenye lengo la kujengea uwezo kamati shirikishi kwa ngazi ya Manispaa kuweza kuratibu na klusimamia jitihada  za kupambana na VVU na UKIMWI ili kufikia male  ngo ya Manispaa, Mkoa, Taifa na Kimataifa.

Mafunzo hayo yametolewa na Yahaya Mmbaga Mratibu wa Dawati la Mikoa na Halmashauri TACAIDS na kusema mafunzo haya  yanalenga kutoa tathmini ya VVU na UKIMWI katika Manispaa na kuweka mikakati ya Kila Mwaka, kuunganisha wadau wanaotekeleza afua za UKIMWI  na kutathamini uwajibikaji wao,kuhakikisha utekelezaji wa sera , Mikakati ya Taifa ya kudhibiti UKIMWI, sheria miongozo na matokeo ya tafiti mbalimbali yanafanyika, kuratibu, kufuatilia kutathmini utekelezaji wa shughuli za vvu na UKIMWI zilizopangwa.

 Ameongeza kwa kusema kuwa Taifa limeendeleakushuhudia kupungua kwa maambukizi mapya ya VVU ikilinganishwa  na miaka ya 1990 kutoka asilimia 7  mwaka 2013 hadi asilimia 4.7 mwaka  2016 ambapo amesemakupungua kwa maambukizi ya VVU ni matokeo ya juhudi mbalimbali za Serikali na wadau ikiwemo Taasisi za dini ingawa madhara kwa jamii na Taifa kwa ujumla bado ni makubwa.

Akizungumzia hali ya maambukizi kwa Kigamboni Dkt.David Manyama ambaye Mratibu wa Maambukizi wa Virusi vya Ukimwi ni  amesema kuwa  Januari 2018 maambukizi yalikuwa asilimia 2, mwaka 2019 maambukizi yalikuwa asilimia 6 na kwa mwaka 2020 hali ya maambukizi ilishuka hadi kufikia asilimia 4.

Yahaya Mmbaga Mratibu wa Dawati la Mikoa na Halmashauri TACAIDS  akitoa mafunzo.


Washiriki wakifuatilia mafunzo.


Yahaya Mmbaga Mratibu wa Dawati la Mikoa na Halmashauri TACAIDS  akitoa mafunzo.


washiriki wamafunzo wakifatilia kwa makini.


Dkt.David Manyama ambaye Mratibu wa Maambukizi wa Virusi vya Ukimwi akielezea hali ya maambukizi Kigamboni.






Matangazo

  • Tangazo la Frem za Biashara, Soko la Kibada February 26, 2025
  • Tangazo la kuitwa kwenye usaili nafasi ya mwendesha mashine ya Bayometriki na Mwandishi msaidizi February 24, 2025
  • Tangazo la uteuzi wa wajumbe wa bodi ya Afya March 26, 2025
  • Tangazo la kuitwa kazini nafasi ya mwendesha mashine ya Bayometriki na Mwandishi msaidizi March 12, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RAIS WA ZANZIBAR NA MWENYEKITI WA BARAZA LA MAPINDUZI MHE. DKT. HUSSEIN ALI MWINYI AMEWEKA JIWE LA MSINGI UJENZI WA BARABARA YA KIBADA - MWASONGA

    April 25, 2025
  • MANISPAA YA KIGAMBONI IMEPOKEA VITI MWENDO 35 NYENYE THAMANI YA TSH MIL 8

    April 08, 2025
  • MKANDARASI TOKA SUMA JKT ATAKIWA KUANZA MAPEMA MAANDALIZI YA UJENZI WA KITUO CHA AFYA CHA TUNGI

    April 08, 2025
  • Mwenyekiti wa Tume Huru ya Uchaguzi Tanzania, Jaji wa Rufaa Mhe. Jacobs Mwambegele amefanya ziara ndani ya Manispaa ya Kigamboni

    March 22, 2025
  • Angalia Zote

Video

Makala maalumu ya utekelezaji wa Miradi ya maendeleo ndani ya Manispaa ya Kigamboni
Video zingine

Kurasa za karibu

  • Municipal councilors
  • Kigamboni Municipal History
  • Investment Opportunities
  • Fomu ya Maombi ya Kiwanja
  • Huduma za Afya na Orodha ya Vituo vya kutolea Huduma za Afya

Kurasa Mashuhuri

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • President's Office Regional Administration and Local Government
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani

Wasiliana Nasi

    Gezaulole Kata ya Somangila, Kigamboni

    Anuani ya Posta: 36009 Dar es Salaam

    Simu: +255222928468

    Simu ya Mkononi: +255222928468

    Bara pepe: info@kigambonimc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki©2017 Manispaa ya Kigamboni . Haki zote Zimehifadhiwa