• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI
HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Care Values
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu ya awali na Msingi
      • Kilima mifugo na umwagiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu Sekondary
      • Mipango na uratibu
      • Utawala na usimamizi wa Rasilimali watu
      • Viwanda biashara na Uwekezaji
      • Miundombinu ,Vijijini na Mjini
      • Huduma za Afya, Ustawi wa jamii na Lishe
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
        • Mawasiliano Serikalini
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • TEHAMA
      • Mkaguzi wa ndani
      • Usimamazi wa Manunuzi
      • Maliasili na uhifadhi wa Mazingira
      • Fedha na uhasibu
      • Usimamizi na usafi wa Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Elimu
    • Utumishi
    • Huhuma za Kisheria
    • Usafi wa mazingira na udhibiti wa taka ngumu
    • Michezo na Sanaa
  • Madiwani
    • Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipangomji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
      • Huduma za jamii
    • Ratiba za Vikao
      • Vikao vya Waheshimiwa
      • Kuonana na Meya
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
      • Miradi ya Sasa
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Picha
    • Hotuba
    • Gazeti la Mtandaoni
    • Vipeperushi
  • Mifumo

Kamati ya fedha na Uongozi Manispaa ya Kigamboni yapongeza maendeleo ya Miradi

Posted on: January 24th, 2019

Kamati ya Fedha ya Halmashauri  ya Manispaa ya Kigamboni  imepongeza maendeleo ya Ujenzi Wa miradi ya maendeleo hususani sekta ya Afya.

Pongezi hizo zilitolewa leo wakati kamati hiyo ilipofanya ziara ya ukaguzi wa miradi ya maendeleo ikiwa ni sehemu ya majukumu yao.

Kamati ya Fedha ilisema imeridhishwa na hatua za ujenzi miradi ya maendeleo  hususani vituo  Vya Afya na kuwapongeza wanakamati na wataalamu wanaofanikisha ukamilikaji wa majengo  hayo.

Aidha wametaka ujenzi wa makao makuu ya Halmashauri  kuongezwa kasi ya ujenzi ili watumishi waweze kuhamia Kwa wakati uliopangwa na kufanya Kazi kwenye Mazingira mazuri.

Kamati ya Fedha ilitembelea miradi mitano, mradi Wa ujenzi wa kituo cha Afya Kimbiji, bwalo la wanafunzi Shule ya Sekondari Nguva, eneo la  ujenzi Wa Hospitali  ya Wilaya ,ujenzi wa jengo la  Utawala na kituo  cha Afya Kigamboni.

wanakamati wakikagua chumba cha upasuaji kwenye kituo cha afya kimbiji

wajumbe wa kamati wakisalimia wagonjwa waliokuwa wakisubiri majibu yao ya vipimo kwenye maabara mpya ya kituo cha Afya Kimbiji.

muonekano wa chumba cha upasuaji kwenye Kituo cha Afya Kimbiji

Jengo la kuhifadhia maiti lililopo kwenye kituo cha  Afya kimbiji ambalo awali halikuwepo.

wajumbe wa kamati ya Fedha wakitoa maelekezo machache walipotembelea eneo la ujenzi wa Hospitali ya Wilaya.

Wajumbe wa kamati ya fedha wakipata maelezo kutoka kwa mhandisi wa Manispaa aliyeshika karatasi walipotembelea eneo la ujenzi wa hospitali ya Wilaya.

Wajumbe wa kamati ya fedha walipotembelea ujenzi wa Bwalo la wanafunzi Nguva Sekondari.

Mafundi wakiendelea na ujenzi wa Bwalo Shule ya Sekondari Nguva

ukaguzi wa ujenzi wajengo la Utawala


jengo la utawala kwa muonekano wa sasa katika hatua ya  ujenzi

viongozi wakifurahia ujenzi wa kituo cha afya Kigamboni, walipotembelea na kukagua maendeleo ya mradi huo

mhandisi wa Manispaa Bw.Pius Mtechura akiongoza wajumbe kueleka kwenye jengo lingine linalojengwa ndani ya Kituo cha Afya Kigamboni


jengo la kuhifadhia maiti linalojengwa kwenye kituo cha afya kigamboni.

muonekano wa ndani eneo la kusafishia

wajumbe wakikagua miundombinu ya eneo la kusafishia mwili kwenye jengo la kuhifadhia maiti.

Matangazo

  • Tangazo la Frem za Biashara, Soko la Kibada February 26, 2025
  • Tangazo la kuitwa kwenye usaili nafasi ya mwendesha mashine ya Bayometriki na Mwandishi msaidizi February 24, 2025
  • Tangazo la uteuzi wa wajumbe wa bodi ya Afya March 26, 2025
  • Tangazo la kuitwa kazini nafasi ya mwendesha mashine ya Bayometriki na Mwandishi msaidizi March 12, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RAIS WA ZANZIBAR NA MWENYEKITI WA BARAZA LA MAPINDUZI MHE. DKT. HUSSEIN ALI MWINYI AMEWEKA JIWE LA MSINGI UJENZI WA BARABARA YA KIBADA - MWASONGA

    April 25, 2025
  • MANISPAA YA KIGAMBONI IMEPOKEA VITI MWENDO 35 NYENYE THAMANI YA TSH MIL 8

    April 08, 2025
  • MKANDARASI TOKA SUMA JKT ATAKIWA KUANZA MAPEMA MAANDALIZI YA UJENZI WA KITUO CHA AFYA CHA TUNGI

    April 08, 2025
  • Mwenyekiti wa Tume Huru ya Uchaguzi Tanzania, Jaji wa Rufaa Mhe. Jacobs Mwambegele amefanya ziara ndani ya Manispaa ya Kigamboni

    March 22, 2025
  • Angalia Zote

Video

Makala maalumu ya utekelezaji wa Miradi ya maendeleo ndani ya Manispaa ya Kigamboni
Video zingine

Kurasa za karibu

  • Municipal councilors
  • Kigamboni Municipal History
  • Investment Opportunities
  • Fomu ya Maombi ya Kiwanja
  • Huduma za Afya na Orodha ya Vituo vya kutolea Huduma za Afya

Kurasa Mashuhuri

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • President's Office Regional Administration and Local Government
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani

Wasiliana Nasi

    Gezaulole Kata ya Somangila, Kigamboni

    Anuani ya Posta: 36009 Dar es Salaam

    Simu: +255222928468

    Simu ya Mkononi: +255222928468

    Bara pepe: info@kigambonimc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki©2017 Manispaa ya Kigamboni . Haki zote Zimehifadhiwa