• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI
HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Care Values
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu ya awali na Msingi
      • Kilima mifugo na umwagiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu Sekondary
      • Mipango na uratibu
      • Utawala na usimamizi wa Rasilimali watu
      • Viwanda biashara na Uwekezaji
      • Miundombinu ,Vijijini na Mjini
      • Huduma za Afya, Ustawi wa jamii na Lishe
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
        • Mawasiliano Serikalini
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • TEHAMA
      • Mkaguzi wa ndani
      • Usimamazi wa Manunuzi
      • Maliasili na uhifadhi wa Mazingira
      • Fedha na uhasibu
      • Usimamizi na usafi wa Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Elimu
    • Utumishi
    • Huhuma za Kisheria
    • Usafi wa mazingira na udhibiti wa taka ngumu
    • Michezo na Sanaa
  • Madiwani
    • Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipangomji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
      • Huduma za jamii
    • Ratiba za Vikao
      • Vikao vya Waheshimiwa
      • Kuonana na Meya
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
      • Miradi ya Sasa
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Picha
    • Hotuba
    • Gazeti la Mtandaoni
    • Vipeperushi
  • Mifumo

Hesabu za mwisho wa mwaka 20202/2021 zapokelewa kwa mikono miwili na Madiwani.

Posted on: September 24th, 2021

Baraza la Madiwani Manispaa ya Kigamboni leo kwa pamoja limepitisha  taarifa ya  hesabu za mwisho yaani Final Accounts zilizoishia 30.06.2021 ikiwani takwa la kisheria na kuwapongeza watendaji kwa kukamilisha taarifa hiyo ikiwa  ni mwaka wa tano  kwa Halmashauri kufunga hesabu zake tangu kuanzishwa na  kupata hati safi kwa miaka minne mfululizo.

Akiwasilisha taarifa hiyo kwa niaba ya Mkuu wa Idara ya Fedha Jenoveva  Meshi amesema kwa mwaka huu wa fedha 202/2021 imefunga vitabu vitano  vya hesabu za mwisho   ambavyo ni, Kitabu kikuu (consolidated financial statements), Mfuko wa afya ya pamoja (Health Basket financial statements 202/2021), Mfuko wa wanawake, vijana na watu wenye wenye ulemavu (women, youth and disability financial statement), mradi wa tofali (Bricks projects financial statement), na Mfuko wa kunusuru Kaya Masikini (TASAF project financial statement).

Aidha katika kikao hicho Diwani wa Kata ya Kigamboni Mhe.Dotto Msawa ameshauri kuepuka baki ya fedha kwa fedha zinazoletwa na serikali kuu waajili ya kutekeleza miradi ya maendeleo.

Kaimu Mkurugenzi wa Manispaa Charles Lawisso amesema kuwa amepokea mapendekezo yote yaliyotolewa ikiwa na kujitahidi kutumia fedha kadri zinavyoletwa ingawa wakati mwingine inakua ngumu kutokana na sheria za manunuzi na fedha hizo kutofika kwa wakati.

Taarifa za uwasilishwaji wa hesabu za mwisho zimefanyika leo kwenye kikao cha Baraza maalumu lililofanyika kwenye ukumbi wa Manispaa.


Mstahiki Meya wa Manispaa ya Kigamboni mhe. Ernest Mafimbo katikati akizungumza wakati wa kikao cha Baraza, kushoto ni Kaimu Mkurugenzi Charles Lawisso na kulia ni Naibu Meya Mhe. Stephano waryoba. 

Jenoveva Meshi mhasibu wa Manispaa akisoma taarifa ya kufunga hesabu za mwaka kwa niaba ya Mkuu wa Idara ya Fedha na Biashara.


Kaimu Mkurugenzi Charles Lawisso akipokea ushauri na maelekezo kutoka kwa Waheshimiwa Madiwani wakati wa kikao.



Diwani wa Kata ya Vijibweni na Kata ya Kibada wakifatilia kwa makini uwasiliswahji wa taarifa ya hesabu.

Diwani wa Kata ya Kigamboni Mhe. Dotto msawa akitoa ushauri wa kutumia feda vizuri na kuepuka baki.


baadhi ya Wataalamu wa Manispaa walioshiriki kikao hicho.


waheshimiwa Madiwani wakifatilia kwa makini uwasilishwaji wa taarifa ya Hesabu.


wataamu wa Manispaa wakifatilia kwa makini uwasilishwaji wa Taarifa za Hesabu.

Matangazo

  • Tangazo la Frem za Biashara, Soko la Kibada February 26, 2025
  • Tangazo la kuitwa kwenye usaili nafasi ya mwendesha mashine ya Bayometriki na Mwandishi msaidizi February 24, 2025
  • Tangazo la uteuzi wa wajumbe wa bodi ya Afya March 26, 2025
  • Tangazo la kuitwa kazini nafasi ya mwendesha mashine ya Bayometriki na Mwandishi msaidizi March 12, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RAIS WA ZANZIBAR NA MWENYEKITI WA BARAZA LA MAPINDUZI MHE. DKT. HUSSEIN ALI MWINYI AMEWEKA JIWE LA MSINGI UJENZI WA BARABARA YA KIBADA - MWASONGA

    April 25, 2025
  • MANISPAA YA KIGAMBONI IMEPOKEA VITI MWENDO 35 NYENYE THAMANI YA TSH MIL 8

    April 08, 2025
  • MKANDARASI TOKA SUMA JKT ATAKIWA KUANZA MAPEMA MAANDALIZI YA UJENZI WA KITUO CHA AFYA CHA TUNGI

    April 08, 2025
  • Mwenyekiti wa Tume Huru ya Uchaguzi Tanzania, Jaji wa Rufaa Mhe. Jacobs Mwambegele amefanya ziara ndani ya Manispaa ya Kigamboni

    March 22, 2025
  • Angalia Zote

Video

Makala maalumu ya utekelezaji wa Miradi ya maendeleo ndani ya Manispaa ya Kigamboni
Video zingine

Kurasa za karibu

  • Municipal councilors
  • Kigamboni Municipal History
  • Investment Opportunities
  • Fomu ya Maombi ya Kiwanja
  • Huduma za Afya na Orodha ya Vituo vya kutolea Huduma za Afya

Kurasa Mashuhuri

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • President's Office Regional Administration and Local Government
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani

Wasiliana Nasi

    Gezaulole Kata ya Somangila, Kigamboni

    Anuani ya Posta: 36009 Dar es Salaam

    Simu: +255222928468

    Simu ya Mkononi: +255222928468

    Bara pepe: info@kigambonimc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki©2017 Manispaa ya Kigamboni . Haki zote Zimehifadhiwa