• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI
HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Care Values
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu ya awali na Msingi
      • Kilima mifugo na umwagiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu Sekondary
      • Mipango na uratibu
      • Utawala na usimamizi wa Rasilimali watu
      • Viwanda biashara na Uwekezaji
      • Miundombinu ,Vijijini na Mjini
      • Huduma za Afya, Ustawi wa jamii na Lishe
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
        • Mawasiliano Serikalini
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • TEHAMA
      • Mkaguzi wa ndani
      • Usimamazi wa Manunuzi
      • Maliasili na uhifadhi wa Mazingira
      • Fedha na uhasibu
      • Usimamizi na usafi wa Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Elimu
    • Utumishi
    • Huhuma za Kisheria
    • Usafi wa mazingira na udhibiti wa taka ngumu
    • Michezo na Sanaa
  • Madiwani
    • Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipangomji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
      • Huduma za jamii
    • Ratiba za Vikao
      • Vikao vya Waheshimiwa
      • Kuonana na Meya
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
      • Miradi ya Sasa
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Picha
    • Hotuba
    • Gazeti la Mtandaoni
    • Vipeperushi
  • Mifumo

DC Sara asisitiza Ufumbuzi wa muda mfupi Mifereji ya maji Kata ya Kigamboni

Posted on: November 21st, 2018

Mkuu wa Wilaya ya Kigamboni Mhe. Sara Msafiri amefanya ziara ya kutembelea miundombinu ya mifereji ya maji  Kata ya Kigamboni  kwa lengo la kupata ufumbuzi wa muda mfupi ili kuondoa tatizo la mafuriko pindi mvua zitakapoanza.

Akizungumza kwenye ziara hiyo Mhe. Sara amesema kuwa ametembelea baadhi ya maeneo ameona changamoto ila amebaini kuwa ndani ya wilaya  ya kigamboni kuna miundombinu ya maji ya kihistoria ambapo miundombinu hiyo imekufa kwa kutokukarabatiwa, kutofanyiwa usafi na muingiliano wa shughuli za kibinadamu  zinazokwamisha maji kupita kuelekea baharini.

Ameongeza kuwa ili kujiepusha na athari za mvua ni lazima kufufua mifereji na kutengeza miundombinu ambayo imakwisha  haribiwa ambapo ameagiza wataalamu kutoka manispaa kushiriikiana na uongozi wa Serikali za Mitaa  kwa kupita na kubaini maeneo yote ambayo  mifereji inapita na  kuona namna itakayowezesha  kutengeneza mifereji ya muda mfupi ili  mvua inapokuja maji yasiweze kutuama.

"Maji yanaingia kwenye hospitali, mahakamani, kituo cha polisi, shuleni  na maeneo mbalimbali ya kibishara , mimi kama mkuu wa Wilaya siwezi kusubiri mpate athari ndiyo nije kutoa pole, tuchukue tahadhari mapema, hatuwezi kusubiri mpango wa mda mrefu kutoka Serikali kuu"Alisema Mhe.Sara

Aidha Mhe.Sara aliwahakikishia wananchi wa Kigamboni kwamba yupo tayari kushirikiana nao kwa kutumia wadau mbalimbali kuhakikisha mbadala wa mifereji unapatikana lakini kwakuwataka wananchi nao kujitolea nguvu kazi na kushiriki kwa namna nyingine yoyote pindi watakapohitajika.

"Nipo tayari kusaidia kokoto, mawe, magari ya vijiko na vitu vingine mtakavyohitaji , wananchi watakaokuwa tayari mimi nipo tayari, Kigamboni ndiyo sehemu pekee inayotoa malighafi za ujenzi kwa kiwango kikubwa hivyo siwezi shindwa kuwasaidia"Alisema  Mhe. Sara

Wakati huohuo Mkuu wa Wilaya amewataka waendesha bodaboda wa kituo cha machava kufanya usafi kwenye karavati lililopo kwenye eneo hilo ambalo wameligeuza choo na kusema kuwa ikifika jumatatu ijayo hapajasafishwa kituo hicho kitafungwa kwa shughuli za bodaboda.

Aidha Mkuu wa Wilaya amewakabidhi Tarura karavati lililopo eneo la midizini lililotelekezwa na TANROADS kwa kipindi cha zaidi ya Miaka miwili  ili liweze kusaidia kwenye utengenezaji wa mifereji ya kupitishia maji inayotarajiwa kukarabatiwa hivi karibuni.

Mkuu wa Wilaya ametembelea maeneo ya Kichanga chui,kituo cha afya Kigamboni, kituo cha polisi na eneo la feri ambapo ziara hii ni endelevu.


Mkuu wa Wilaya akuisaini kitabu cha wageni kata ya Kigamboni.

Mkuu wa Wilaya ya Kigamboni Mhe. Sara Msafiri akizungumza na baadhi ya wananchi kwenye ofisiza Kata ya Kigamboni.


Mkuiu wa Wilaya na viongozi wengine wakitoka kwenye kituo cha Afya Kigamboni.


Karavati walilopewa TARURA likipimwa na mtaalamu kutoka TARURA huku mkuu wa Wilaya akishuhudia.

Mwananchi wa Kichanga chui akielezea changamoto ya mafuriko wanayokumbana nayo pindi mvua zikianza kunyesha.

Ziara ikiendelea

Katibu Tawala Wilaya Bi. Rahel Mhando akizungumza na wananchi Kata ya Kigamboni.

Matangazo

  • Tangazo la Frem za Biashara, Soko la Kibada February 26, 2025
  • Tangazo la kuitwa kwenye usaili nafasi ya mwendesha mashine ya Bayometriki na Mwandishi msaidizi February 24, 2025
  • Tangazo la uteuzi wa wajumbe wa bodi ya Afya March 26, 2025
  • Tangazo la kuitwa kazini nafasi ya mwendesha mashine ya Bayometriki na Mwandishi msaidizi March 12, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RAIS WA ZANZIBAR NA MWENYEKITI WA BARAZA LA MAPINDUZI MHE. DKT. HUSSEIN ALI MWINYI AMEWEKA JIWE LA MSINGI UJENZI WA BARABARA YA KIBADA - MWASONGA

    April 25, 2025
  • MANISPAA YA KIGAMBONI IMEPOKEA VITI MWENDO 35 NYENYE THAMANI YA TSH MIL 8

    April 08, 2025
  • MKANDARASI TOKA SUMA JKT ATAKIWA KUANZA MAPEMA MAANDALIZI YA UJENZI WA KITUO CHA AFYA CHA TUNGI

    April 08, 2025
  • Mwenyekiti wa Tume Huru ya Uchaguzi Tanzania, Jaji wa Rufaa Mhe. Jacobs Mwambegele amefanya ziara ndani ya Manispaa ya Kigamboni

    March 22, 2025
  • Angalia Zote

Video

Makala maalumu ya utekelezaji wa Miradi ya maendeleo ndani ya Manispaa ya Kigamboni
Video zingine

Kurasa za karibu

  • Municipal councilors
  • Kigamboni Municipal History
  • Investment Opportunities
  • Fomu ya Maombi ya Kiwanja
  • Huduma za Afya na Orodha ya Vituo vya kutolea Huduma za Afya

Kurasa Mashuhuri

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • President's Office Regional Administration and Local Government
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani

Wasiliana Nasi

    Gezaulole Kata ya Somangila, Kigamboni

    Anuani ya Posta: 36009 Dar es Salaam

    Simu: +255222928468

    Simu ya Mkononi: +255222928468

    Bara pepe: info@kigambonimc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki©2017 Manispaa ya Kigamboni . Haki zote Zimehifadhiwa