• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI
HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Livestock na Fisheries
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu Sekondary
      • Fedha na Biashara
      • Mipango, Takwimu na Ufatiliaji
      • Utumishi na Utawala
      • Maji
      • Mipango Mija na Maendeleo ya Ardhi
      • Afya
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Elimu
    • Maji
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipangomji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba za Vikao
      • Vikao vya Waheshimiwa
      • Kuonana na Meya
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi ya Sasa
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Umma
    • Picha za Video
    • Hotuba Mbalimbali
    • Picha

DC BULEMBO AKUTANA KUZUNGUMZA NA MADEREVA WA BODABODA

Posted on: February 23rd, 2023

*DC BULEMBO AKUTANA NA KUZUNGUMZA NA KUNDI LA WAENDESHA BODABODA NA BAJAJI, ATOA SALAMU ZA RAIS SAMIA KATIKA KUWATHAMINI - KIGAMBONI*


> _Waweka mikakati ya kuhakikisha wanafanya biashara zao kwenye mazingira mazuri na usalama_ .


" *Nimeona ni vema nikutane na kundi hili nijitanbulishe kwenu kwa lengo la kufahamiana, tunapoletwa viongozi katika Wilaya zetu tunaletwa mahususi kuwasaidia nyie Wananchi kwa makundi mbalimbali, mfano leo una bodaboda moja tukurahishie mazingira yako na usalama wako ilikusudi kesho na keshokutwa uwe na mafanikio upate na ya pili* "


" *Katika vikao vyetu tunavyokuwa tunafanya, Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, anatusisitiza na kuweka kipaumbele kwenu kwamba anatambua umuhimu wa jamii yetu ya waendesha pikipiki (bodaboda) na bajaji na anawathamini sana na kwa nafasi kubwa sana changamoto ambazo mnazipitia zinafanyiwa kazi kwasababu ni kundi ambalo linainua uchumi wa Nchi kupitia mtu mmoja mmoja* "


" *Niendelee kuwasisitizia kuwa Mhe. Rais Dkt. Samia anawathamini, anawajali, anawapenda na mimi kama msaidizi wake katika Wilaya hii nipo kutekeleza hilo, naombeni ushirikiano wenu wa kuhakikisha mnaendelea kuzingatia na kufuata sheria za usalama wa barabarani* "


Hayo yamesemwa na Mkuu wa Wilaya ya Kigamboni Mhe. Halima Bulembo, alipokaa kikao na kundi la waendesha Bodaboda na Bajaji wa Wilaya ya Kigamboni katika ukumbi wa CCM Kigamboni tarehe 21 februari, 2023.


#KigamboniMpya

#KaziIendelee

Matangazo

  • Namba za simu za Wakuu wa Idara Manispaa ya Kigamboni July 04, 2022
  • Tangazo la kuitwa kazini July 12, 2022
  • Tangazo la nafasi za kazi Manispaa ya Kigamboni February 27, 2023
  • Tangazo la uuzaji wa viwanja Manispaa ya Kigamboni December 08, 2022
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Vikundi Manispaa. Ya Kigamboni vyapokea mikopo

    March 22, 2023
  • TANGAZO LA VIWANJA

    March 22, 2023
  • TANGAZO LA VIWANJA

    March 22, 2023
  • DC BULEMBO ASHIRIKI KATIKA USAFI WA MWISHO WA MWEZI

    February 25, 2023
  • Angalia Zote

Video

Tangazo la uuzaji wa viwanja
Video zingine

Kurasa za karibu

  • Municipal councilors
  • Kigamboni Municipal History
  • Investment Opportunities
  • Fomu ya Maombi ya Kiwanja
  • Huduma za Afya na Orodha ya Vituo vya kutolea Huduma za Afya

Kurasa Mashuhuri

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • President's Office Regional Administration and Local Government
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani

Wasiliana Nasi

    Gezaulole Kata ya Somangila, Kigamboni

    Anuani ya Posta: 36009 Dar es Salaam

    Simu: +255222928468

    Simu ya Mkononi: +255222928468

    Bara pepe: info@kigambonimc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki©2017 Manispaa ya Kigamboni . Haki zote Zimehifadhiwa