• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI
HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Care Values
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu ya awali na Msingi
      • Kilima mifugo na umwagiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu Sekondary
      • Mipango na uratibu
      • Utawala na usimamizi wa Rasilimali watu
      • Viwanda biashara na Uwekezaji
      • Miundombinu ,Vijijini na Mjini
      • Huduma za Afya, Ustawi wa jamii na Lishe
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
        • Mawasiliano Serikalini
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • TEHAMA
      • Mkaguzi wa ndani
      • Usimamazi wa Manunuzi
      • Maliasili na uhifadhi wa Mazingira
      • Fedha na uhasibu
      • Usimamizi na usafi wa Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Elimu
    • Utumishi
    • Huhuma za Kisheria
    • Usafi wa mazingira na udhibiti wa taka ngumu
    • Michezo na Sanaa
  • Madiwani
    • Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipangomji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
      • Huduma za jamii
    • Ratiba za Vikao
      • Vikao vya Waheshimiwa
      • Kuonana na Meya
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
      • Miradi ya Sasa
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Picha
    • Hotuba
    • Gazeti la Mtandaoni
    • Vipeperushi
  • Mifumo

Dc amuweka ndani mhandisi wa Afroil kwa kukiuka agizo la kusitisha ujenzi wa Kuta.

Posted on: April 4th, 2019

Mkuu wa Wilaya ya Kigamboni Mhe.Sara Msafiri amemuweka ndani (masaa 24) msimamizi wa ujezi wa ukuta wa kampuni ya Afroil ,Mhandisi Vilelian Magembe mwenyewe kampuni ya ujenzi ya NECO CONTRACTORS kwa kukaidi kusitisha ujenzi wa ukuta unaojengwa ndani ya eneo la hifadhi ya barabara baada ya Mkuu wa Wilaya kusitisha ujenzi huo jana alipotembelea kwenye kampuni hiyo.

Akizungumza leo kwenye kampuni ya Afroil Vijibweni, Mkuu wa Wilaya amesema kuwa eneo linalojengwa halina kibali pia linaonekana kuwa ni hifadhi ya barabara na hivyo kuwataka kupeleka nyaraka zinazowaruhusu kufanya ujenzi kwenye eneo hilo na kibali walichopewa lakini pia kusitisha ujenzi huo mpaka pale agizo litakapotolewa.

“wamekaidi kuacha ujenzi, mafundi wanaendelea na ujenzi, nyaraka mmezileta leo ofisini lakini tamko lakuendelea na ujenzi sijalitoa, nakuweka ndani masaa 24, lazima utaratibu ufuatwe kama wawekezaji ili kuepuka malalamishi na migogoro inayoweza kuzuilika kwa kutii sheria” alisema Mkuu wa Wilaya.

Aidha Mkuu wa Wilaya amesema wataalamu wanaohusika na kutoa vibali wanatakiwa kuangalia na maeneo ya uwekezaji kabla ya kuvitoa ili kujua shughuli zitakazofanywa , kubaini kama hazina uharibifu wa miundombinu kwa kufuata sheria badala ya kuvitolea wakiwa ofisini hususani kwenye miradi mikubwa kama ya mafuta .

“Nimebaini mapungufu kwenye utoaji wa vibali, mimi kama Mkuu wa Wilaya nitandaa kikao cha dharula kwasababu hii ni hasara kwanza kwa wawekezaji, unaharibu wa ramani za mipangomiji na mazingira ya rushwa, haiwezekani mtu anajenga vibali afate baadae” aliongeza Mkuu wa Wilaya.

Ziara hii ni muendelezo wa ziara zake za kutembelea wawekezaji wa mafuta na gesi waliowekeza Wilayani Kigamboni.

Mkuu wa Wilaya Mhe. Sara Msafiri akizungumza na waandishi kuhusu ufuataji wa sheria za kufuatwa na wawekezaji.

mafundi wakiondoka eneo la ujenzi mara baada ya kusitishwa kuendelea na ujenzi.

baadhi ya Kuta zinazojengwa

Baadhi ya Kuta

Baadhi ya Kuta

Matangazo

  • Tangazo la Frem za Biashara, Soko la Kibada February 26, 2025
  • Tangazo la kuitwa kwenye usaili nafasi ya mwendesha mashine ya Bayometriki na Mwandishi msaidizi February 24, 2025
  • Tangazo la uteuzi wa wajumbe wa bodi ya Afya March 26, 2025
  • Tangazo la kuitwa kazini nafasi ya mwendesha mashine ya Bayometriki na Mwandishi msaidizi March 12, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RAIS WA ZANZIBAR NA MWENYEKITI WA BARAZA LA MAPINDUZI MHE. DKT. HUSSEIN ALI MWINYI AMEWEKA JIWE LA MSINGI UJENZI WA BARABARA YA KIBADA - MWASONGA

    April 25, 2025
  • MANISPAA YA KIGAMBONI IMEPOKEA VITI MWENDO 35 NYENYE THAMANI YA TSH MIL 8

    April 08, 2025
  • MKANDARASI TOKA SUMA JKT ATAKIWA KUANZA MAPEMA MAANDALIZI YA UJENZI WA KITUO CHA AFYA CHA TUNGI

    April 08, 2025
  • Mwenyekiti wa Tume Huru ya Uchaguzi Tanzania, Jaji wa Rufaa Mhe. Jacobs Mwambegele amefanya ziara ndani ya Manispaa ya Kigamboni

    March 22, 2025
  • Angalia Zote

Video

Makala maalumu ya utekelezaji wa Miradi ya maendeleo ndani ya Manispaa ya Kigamboni
Video zingine

Kurasa za karibu

  • Municipal councilors
  • Kigamboni Municipal History
  • Investment Opportunities
  • Fomu ya Maombi ya Kiwanja
  • Huduma za Afya na Orodha ya Vituo vya kutolea Huduma za Afya

Kurasa Mashuhuri

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • President's Office Regional Administration and Local Government
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani

Wasiliana Nasi

    Gezaulole Kata ya Somangila, Kigamboni

    Anuani ya Posta: 36009 Dar es Salaam

    Simu: +255222928468

    Simu ya Mkononi: +255222928468

    Bara pepe: info@kigambonimc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki©2017 Manispaa ya Kigamboni . Haki zote Zimehifadhiwa