• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI
HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Care Values
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu ya awali na Msingi
      • Kilima mifugo na umwagiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu Sekondary
      • Mipango na uratibu
      • Utawala na usimamizi wa Rasilimali watu
      • Viwanda biashara na Uwekezaji
      • Miundombinu ,Vijijini na Mjini
      • Huduma za Afya, Ustawi wa jamii na Lishe
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
        • Mawasiliano Serikalini
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • TEHAMA
      • Mkaguzi wa ndani
      • Usimamazi wa Manunuzi
      • Maliasili na uhifadhi wa Mazingira
      • Fedha na uhasibu
      • Usimamizi na usafi wa Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Elimu
    • Utumishi
    • Huhuma za Kisheria
    • Usafi wa mazingira na udhibiti wa taka ngumu
    • Michezo na Sanaa
  • Madiwani
    • Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipangomji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
      • Huduma za jamii
    • Ratiba za Vikao
      • Vikao vya Waheshimiwa
      • Kuonana na Meya
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
      • Miradi ya Sasa
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Picha
    • Hotuba
    • Gazeti la Mtandaoni
    • Vipeperushi
  • Mifumo

DC ahimiza walengwa wa chanjo ya Surua Rubella na Polio kufikiwa

Posted on: October 15th, 2019

Mkuu wa Wilaya ya Kigamboni Mhe. Sara Msafiri ametaka  walengwa wa chanjo ya Surua-Rubella na Polio kufikiwa kwa kupatiwa elimu ya umuhimu wa kupata chanjo hizo ili kuhakikisha lengo lililokusudiwa na Serikali linafikiwa .

Akizungumza wakati wa utolewaji wa mafunzo shirikishi kuhusu kampeni ya  SURUA-RUBELLA yaliyotolewa leo kwa kamati ya Afya ya msingi ya Wilaya kwenye ukumbi wa mikutano ofisini kwake Mkuu wa Wilaya amesema kuwa Serikali inachukua hatua mbalimbali kuhakikisha inadhibiti magonjwa yanayozuilika kwa chanjo  ili kuokoa maisha ya watoto na kuboresha Afya kwa ujumla.

Mkuu wa Wilaya ameeleza kuwa chanjo hizo zinafaida yake na ndiomaana Serikali inapambana kuhakikisha wananchi wanapatiwa hivyo ni jukumu la wanakamati wa Afya  kuhakikisha elimu hiyo inatolewa ipasavyo na kuwafikia wote waliokusudiwa ikiwa ni pamoja na kushirikisha makundi mbalimbali.

Akizungumza wakati wa mafunzo Afisa Afya wa Wilaya Bi.Maua Hageshi amesema kuwa Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto kwa kushirikiana na wadau imeandaa kampeni ya kitaifa ya kutoa chanjo za Surua,Rubella na PolioAmbapo Kampeni hii inalenga watoto wote wenye umri chini ya miaka mitano kupewa chanjo hizo.

Lengo mahususi la kampeni hii ya kitaifa ni kuzuia na kupambana na magonjwa yanayozuilika kwa chanjo ambayo ni ugonjwa wa Surua, Rubela na Polio kwa kutoa chanjo kwa watoto wote wenye umri  chini ya miaka 5 na kuongeza kinga kwa watoto wote kwa kuwapatia chanjo hata kama wameshapata chanjo hizo katika utaratibu wa kawaida wa kutoa huduma za chanjo

Halmashuri ya manispaa ya kigamboni inatarajia kuchanja watoto wapatao 26711 kwa chanjo ya surua rubella  na watoto 15281 kwa chanjo ya polio ya sindano  ambapo Jumla ya vituo vitakavyotoa huduma hii ya chanjo ni 25 na zoezi hili linatarajiwa kuanza rasmi kuanzia tarehe 17-21/10/2019.


Matangazo

  • Tangazo la Frem za Biashara, Soko la Kibada February 26, 2025
  • Tangazo la kuitwa kwenye usaili nafasi ya mwendesha mashine ya Bayometriki na Mwandishi msaidizi February 24, 2025
  • Tangazo la uteuzi wa wajumbe wa bodi ya Afya March 26, 2025
  • Tangazo la kuitwa kazini nafasi ya mwendesha mashine ya Bayometriki na Mwandishi msaidizi March 12, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RAIS WA ZANZIBAR NA MWENYEKITI WA BARAZA LA MAPINDUZI MHE. DKT. HUSSEIN ALI MWINYI AMEWEKA JIWE LA MSINGI UJENZI WA BARABARA YA KIBADA - MWASONGA

    April 25, 2025
  • MANISPAA YA KIGAMBONI IMEPOKEA VITI MWENDO 35 NYENYE THAMANI YA TSH MIL 8

    April 08, 2025
  • MKANDARASI TOKA SUMA JKT ATAKIWA KUANZA MAPEMA MAANDALIZI YA UJENZI WA KITUO CHA AFYA CHA TUNGI

    April 08, 2025
  • Mwenyekiti wa Tume Huru ya Uchaguzi Tanzania, Jaji wa Rufaa Mhe. Jacobs Mwambegele amefanya ziara ndani ya Manispaa ya Kigamboni

    March 22, 2025
  • Angalia Zote

Video

Makala maalumu ya utekelezaji wa Miradi ya maendeleo ndani ya Manispaa ya Kigamboni
Video zingine

Kurasa za karibu

  • Municipal councilors
  • Kigamboni Municipal History
  • Investment Opportunities
  • Fomu ya Maombi ya Kiwanja
  • Huduma za Afya na Orodha ya Vituo vya kutolea Huduma za Afya

Kurasa Mashuhuri

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • President's Office Regional Administration and Local Government
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani

Wasiliana Nasi

    Gezaulole Kata ya Somangila, Kigamboni

    Anuani ya Posta: 36009 Dar es Salaam

    Simu: +255222928468

    Simu ya Mkononi: +255222928468

    Bara pepe: info@kigambonimc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki©2017 Manispaa ya Kigamboni . Haki zote Zimehifadhiwa