• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI
HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Care Values
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu ya awali na Msingi
      • Kilima mifugo na umwagiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu Sekondary
      • Mipango na uratibu
      • Utawala na usimamizi wa Rasilimali watu
      • Viwanda biashara na Uwekezaji
      • Miundombinu ,Vijijini na Mjini
      • Huduma za Afya, Ustawi wa jamii na Lishe
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
        • Mawasiliano Serikalini
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • TEHAMA
      • Mkaguzi wa ndani
      • Usimamazi wa Manunuzi
      • Maliasili na uhifadhi wa Mazingira
      • Fedha na uhasibu
      • Usimamizi na usafi wa Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Elimu
    • Utumishi
    • Huhuma za Kisheria
    • Usafi wa mazingira na udhibiti wa taka ngumu
    • Michezo na Sanaa
  • Madiwani
    • Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipangomji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
      • Huduma za jamii
    • Ratiba za Vikao
      • Vikao vya Waheshimiwa
      • Kuonana na Meya
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
      • Miradi ya Sasa
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Picha
    • Hotuba
    • Gazeti la Mtandaoni
    • Vipeperushi
  • Mifumo

Chuo cha Wananchi kinachojengwa kigamboni kunufaisha wananchi 300 kitakapokamilika awamu ya kwanza.

Posted on: October 19th, 2022

NA: Alda Sadango

Naibu waziri wa Elimu Mhe.Omary Juma Kipaanga leo amefanya ziara ya kutembelea chuo cha Wananchi maarufu kama Anatoglo kinachojengwa katika Wilaya ya Kigamboni na kutarajiwa kumalizika mwezi wa kumi na mbili na kueleza namna Rais alivyojipanga kuimarisha Sekta ya  Elimu kwa wananchi.

Waziri kipanga amesema kuwa chuo hicho kilikua kinatoa huduma zake Anatoglo lakini kwa sasa kitahamishiwa Wilaya ya Kigamboni kutokana na ufinyu wa eneo  na ameona  maendele ya mradi huu yanaonekana kuwa mazuri kwa kiasi hivyo kuonesha matumaini ya kukamilika kwa wakati uliopangwa.

Aliongeza kwa kusema kuwa katika kuchangia ukuaji wa Sekta ya Elimu Rais Samia Suluhu Hassani alitoa fedha kiasi cha bilioni 6.8 kutoka kwenye fedha ya uviko kwaajili ya ununuzi wa vifaa kwaaajiili ya vyuo vya FDC hivyo chuo hiki kitakapokamilika kitaweza kutumika maramoja sababu vifaa tayari vipo.

Naye Mkuu wa Wilaya ya Kigamboni Mhe. Fatma Almasi Nyangassa ameshukuru Rais  Samia kwa kutoa kaisi cha  Milioni 690  itakayowezesha kukamilisha ujenzi wa chuo hicho cha Wananchi  maarufu Anatoglo na kusema kuwa ni suala la kujivunia sana kwani ,hadi kukamilika kwa awamu hii ya kwanza kitakuwa na uwezo wa kuchukua wanafunzi 300 ambao wataweza kupatiwa mafunzo ya kozi mbalimbali zitakazokuwa zikitolewa hapo .

Ameongeza kuwa Vijana wengi wameshapitia kwenye chuo hicho nab ado kitaendelea  kuwasaidia watu watakaomaliza elimu mbalimbali kuweza kupata mafunzo hivyo anamshukuru Raisi kwa kuelekeza fedha hizo Kigamboni kwani ujenzi wa miradi mbalimbali inayojengwa inaisaidia Kigamboni kukua kulingana na mahitaji halisi ya wananchi.

“Niwaambie wanakigamboni hii ni fursa kwetu na wananchi wengine walio karibu kuja kupata huduma ya mafunzo mbalimbali  hivyo tutumie vyema fursa hii ambayo imetufikia” Alisema DC Fatma.

Mkandarasi anayehusika na ujenzi wa chuo hicho amesema uwa kutembelewa na kiongozi kama Naibu waziri  kunatia moyo na kuahidi kuhakikisha anayafanyia kazi maelekezo yote yaliyotolewa ili kuweza kukamilisha mradi huo kwa umuda uliopangwa.


Naibu Waziri wa Elimu Mhe. Omary Kipanga akitoa maelekezo kwa mkandarasi anayejenga chuo hicho , pembeni ni Mkuu wa Wilaya ya Kigamboni Mhe. Fatma Almasi Nyangassa.

Naibu Waziri wa Elimu Mhe. Omary Kipanga akiwa ameongozana na  Mkuu wa Wilaya ya Kigamboni Mhe. Fatma Almasi Nyangassa na wataalamu wengine kwenda kutazama maendeleo ya ujenzi wa chuo hicho.


Naibu Waziri wa Elimu Mhe. Omary Kipanga akiwa amembatana na wataalamu wengine wakitoka kukagua maendeleo ya ujenzi wa chuo hicho.

Hatua ya jenzi iliyofikiwa mpaka sasa kwa moja ya jengo.

Matangazo

  • Tangazo la Frem za Biashara, Soko la Kibada February 26, 2025
  • Tangazo la kuitwa kwenye usaili nafasi ya mwendesha mashine ya Bayometriki na Mwandishi msaidizi February 24, 2025
  • Tangazo la uteuzi wa wajumbe wa bodi ya Afya March 26, 2025
  • Tangazo la kuitwa kazini nafasi ya mwendesha mashine ya Bayometriki na Mwandishi msaidizi March 12, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RAIS WA ZANZIBAR NA MWENYEKITI WA BARAZA LA MAPINDUZI MHE. DKT. HUSSEIN ALI MWINYI AMEWEKA JIWE LA MSINGI UJENZI WA BARABARA YA KIBADA - MWASONGA

    April 25, 2025
  • MANISPAA YA KIGAMBONI IMEPOKEA VITI MWENDO 35 NYENYE THAMANI YA TSH MIL 8

    April 08, 2025
  • MKANDARASI TOKA SUMA JKT ATAKIWA KUANZA MAPEMA MAANDALIZI YA UJENZI WA KITUO CHA AFYA CHA TUNGI

    April 08, 2025
  • Mwenyekiti wa Tume Huru ya Uchaguzi Tanzania, Jaji wa Rufaa Mhe. Jacobs Mwambegele amefanya ziara ndani ya Manispaa ya Kigamboni

    March 22, 2025
  • Angalia Zote

Video

Makala maalumu ya utekelezaji wa Miradi ya maendeleo ndani ya Manispaa ya Kigamboni
Video zingine

Kurasa za karibu

  • Municipal councilors
  • Kigamboni Municipal History
  • Investment Opportunities
  • Fomu ya Maombi ya Kiwanja
  • Huduma za Afya na Orodha ya Vituo vya kutolea Huduma za Afya

Kurasa Mashuhuri

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • President's Office Regional Administration and Local Government
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani

Wasiliana Nasi

    Gezaulole Kata ya Somangila, Kigamboni

    Anuani ya Posta: 36009 Dar es Salaam

    Simu: +255222928468

    Simu ya Mkononi: +255222928468

    Bara pepe: info@kigambonimc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki©2017 Manispaa ya Kigamboni . Haki zote Zimehifadhiwa