• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI
HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Care Values
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu ya awali na Msingi
      • Kilima mifugo na umwagiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu Sekondary
      • Mipango na uratibu
      • Utawala na usimamizi wa Rasilimali watu
      • Viwanda biashara na Uwekezaji
      • Miundombinu ,Vijijini na Mjini
      • Huduma za Afya, Ustawi wa jamii na Lishe
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
        • Mawasiliano Serikalini
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • TEHAMA
      • Mkaguzi wa ndani
      • Usimamazi wa Manunuzi
      • Maliasili na uhifadhi wa Mazingira
      • Fedha na uhasibu
      • Usimamizi na usafi wa Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Elimu
    • Utumishi
    • Huhuma za Kisheria
    • Usafi wa mazingira na udhibiti wa taka ngumu
    • Michezo na Sanaa
  • Madiwani
    • Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipangomji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
      • Huduma za jamii
    • Ratiba za Vikao
      • Vikao vya Waheshimiwa
      • Kuonana na Meya
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
      • Miradi ya Sasa
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Picha
    • Hotuba
    • Gazeti la Mtandaoni
    • Vipeperushi
  • Mifumo

BODI YA AFYA KIGAMBONI YAPOKEA TAARIFA ZA UTEKELEZAJI WA MIRADI

Posted on: May 3rd, 2023

BODI YA AFYA MANISPAA YA KIGAMBONI YAPOKEA TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA AFYA,


 Hayo yamejiri leo 2/5/2023 katika kikao kilichofanyika katika ukumbi wa Manispaa ambapo Idara ya Afya imekabidhi kwa bodi  taarifa ya utekelezaji wa miradi ya Afya kwa kipindi cha januari-machi iliyokamilika na inayoendelea kutekelezwa.


Akiwasilisha taarifa hiyo ya utekelezaji Kaimu Mganga Mkuu ndg.Dr.Mohamed Mnyau amesema miradi hiyo ni ujenzi wa jengo la wazazi Zahanati ya Buyuni iliyogharimu kiasi cha shilingi mil.500 zikiwa fedha za ruzuku na mil.12.6 ikiwa ni fedha za mapato vya ndani jengo hili limekamilika na huduma zinatolewa kwa wananchi.Mradi mwingine ni Kituo cha Afya Tundwi Songani unatekelezwa kwa fedha za ruzuku mil.500 na mapato ya ndani mil.81,katika mradi huu tayari huduma zimeanza kutolewa kwa wagonjwa wa nje ambapo upande wa maabara jengo la kujifungulia wazazi yapo katika hatu za za mwisho za umaliziaji.Mradi mwingine ni ujenzi wa jengo la wazazi na upasuaji ,jengo la maabara na jengo la kufulia katika Kituo cha Afya cha Chekeni Mwasonga ambapo mpaka kukamilika kwake kutagharimu shs.mil.450 fedha za ruzuku na mil.70 mapato ya ndani mradi upo katika hatua za umaliziaji.


Aidha ujenzi wa nyumba ya mtumishi katika Zahanati ya Kijaka ni mradi mwingine ambao utekelezaji wake upo katika umaliziaji ambapo upo katika hatua za kupachika mipango kiasi cha fedha ni shs mil 50 za ruzuku na mil.31.3 fedha za mapato ya ndani.


Na miradi mingine ni ujenzi wa jengo la wazazi ,jengo la upasuaji na jengo la kufulia katika Kituo cha Afya Kichangani upo kwenye ukamilishaji utagharimu kiasi cha Shs.mil.500 fedha za serikali kuu na mil.40.1 fedha za mapato ya ndani aidha mradi uliokamilika wa kituo cha Afya Kibada uliogharimu mil.640 mingine ni ujenzi wa wodi 3 hospitali ya Wilaya utakaogharimu mil.500 za serikali kuu na mil.100 mapato ya Manispaa,ujenzi wa jengo la Zahanati Maweni mil.22.4 fedha za mfuko wa Jimbo na mil.49 fedha za Manispaa lipo katika hatua za ukamilishaji , ujenzi wa jengo la MDR (Kifua Kikuu Sugu)Kata ya Vijibweni kiasi cha mil.680 zitatumika hadi kukamilika fedha ni za Global Fund .


 Aidha kuhusu tatizo la upungufu wa watumishi katika vituo vya Afya na hospitali Kigamboni Mwenyekiti wa Bodi hiyo Bi.Catherin Valence ametaka kujua kutoka kwa Katibu Idara ya Afya bi Digna Zenda mikakati iliyopo ili kukabiliana na tatizo ambapo Katibu huyo Bi.Digna amesema kwamba mikakati ipo ambapo tayari katika Bajeti ya 2023/2024 wameomba Wizara iwapatie watumishi 100 lakini pia wamekuwa wakiwaajiri watumishi kwa mikataba na kuwalipa kwa kutumia mapato ya ndani ili kupunguza tatizo aidha katika ajira zilizotangazwa na TAMISEMI wana tumaini kwamba Kigamboni itapata angalau kiasi flani cha watumishi ili kutatua tatizo,aidha Wizara ilileta watumishi 58 baada ya Manispaa kuomba ambapo watumishi hao wamepelekwa katika vituo vya Afya kuhudumia.


  Akihitimisha kikao bi.Catherin amewataka watendaji hao kusimamia miradi inayoendelea kutekelezwa kwa ukaribu na kuhakikisha mafundi hawasababishi dosari katika ujenzi ilibmiradi iweze kuwa na ubora unaotakiwa

Matangazo

  • Tangazo la Frem za Biashara, Soko la Kibada February 26, 2025
  • Tangazo la kuitwa kwenye usaili nafasi ya mwendesha mashine ya Bayometriki na Mwandishi msaidizi February 24, 2025
  • Tangazo la uteuzi wa wajumbe wa bodi ya Afya March 26, 2025
  • Tangazo la kuitwa kazini nafasi ya mwendesha mashine ya Bayometriki na Mwandishi msaidizi March 12, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RAIS WA ZANZIBAR NA MWENYEKITI WA BARAZA LA MAPINDUZI MHE. DKT. HUSSEIN ALI MWINYI AMEWEKA JIWE LA MSINGI UJENZI WA BARABARA YA KIBADA - MWASONGA

    April 25, 2025
  • MANISPAA YA KIGAMBONI IMEPOKEA VITI MWENDO 35 NYENYE THAMANI YA TSH MIL 8

    April 08, 2025
  • MKANDARASI TOKA SUMA JKT ATAKIWA KUANZA MAPEMA MAANDALIZI YA UJENZI WA KITUO CHA AFYA CHA TUNGI

    April 08, 2025
  • Mwenyekiti wa Tume Huru ya Uchaguzi Tanzania, Jaji wa Rufaa Mhe. Jacobs Mwambegele amefanya ziara ndani ya Manispaa ya Kigamboni

    March 22, 2025
  • Angalia Zote

Video

Makala maalumu ya utekelezaji wa Miradi ya maendeleo ndani ya Manispaa ya Kigamboni
Video zingine

Kurasa za karibu

  • Municipal councilors
  • Kigamboni Municipal History
  • Investment Opportunities
  • Fomu ya Maombi ya Kiwanja
  • Huduma za Afya na Orodha ya Vituo vya kutolea Huduma za Afya

Kurasa Mashuhuri

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • President's Office Regional Administration and Local Government
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani

Wasiliana Nasi

    Gezaulole Kata ya Somangila, Kigamboni

    Anuani ya Posta: 36009 Dar es Salaam

    Simu: +255222928468

    Simu ya Mkononi: +255222928468

    Bara pepe: info@kigambonimc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki©2017 Manispaa ya Kigamboni . Haki zote Zimehifadhiwa