• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI
HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Care Values
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu ya awali na Msingi
      • Kilima mifugo na umwagiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu Sekondary
      • Mipango na uratibu
      • Utawala na usimamizi wa Rasilimali watu
      • Viwanda biashara na Uwekezaji
      • Miundombinu ,Vijijini na Mjini
      • Huduma za Afya, Ustawi wa jamii na Lishe
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
        • Mawasiliano Serikalini
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • TEHAMA
      • Mkaguzi wa ndani
      • Usimamazi wa Manunuzi
      • Maliasili na uhifadhi wa Mazingira
      • Fedha na uhasibu
      • Usimamizi na usafi wa Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Elimu
    • Utumishi
    • Huhuma za Kisheria
    • Usafi wa mazingira na udhibiti wa taka ngumu
    • Michezo na Sanaa
  • Madiwani
    • Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipangomji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
      • Huduma za jamii
    • Ratiba za Vikao
      • Vikao vya Waheshimiwa
      • Kuonana na Meya
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
      • Miradi ya Sasa
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Picha
    • Hotuba
    • Gazeti la Mtandaoni
    • Vipeperushi
  • Mifumo

Baraza la Madiwani limepinga kutwaliwa kwa viwanja vya Vijibweni.

Posted on: August 23rd, 2018

Baraza la Madiwani Manispaa ya Kigamboni kwa pamoja limeazimia kupinga kutwaliwa kwa viwanja namba 1-4 kitalu Q  na Kamishan wa Ardhi vilivyopo eneo la Vijibweni  kwakua Halmashauri ilikuwa imekwisha panga matumizi yake  na imeshatumia gharama kubwa kuvipimaa na kwamba vitasaidia kuinua uchumi wa Halmashauri kama chanzo cha mapato.

Azimio hilo limefikiwa mara baada ya Halmashauri kupokea barua kutoka kwa kamishna wa ardhi kuwa eneo hilo limetengwa kuwa benki ya ardhi tofauti na Baraza la Madiwani lililvyoelekeza ambapo utekelezaji wake ulikuwa tayari umekwishaanza.

Akizungumza kwenye kikao hicho cha Baraza, Mstahiki Meya wa Manispaa ya Kigamboni  Mhe.Maabad Hoja alisema kuwa walitenga eneo ili kuweza kulitumia kwaajili ya kupata fedha ili kuibusti Halmashauri ili ikae sawa na Halmashauri nyingine badala ya kuitwa changa iweze kusimama lakini, bahati mbaya Wizara ya Ardhi imelichukua na kupanga matumizi mengine na kuzia tusisonge mbele.

"tumeshaunda timu ya kwenda wizarani kupambana ili eneo liweze kurudi kwenye Halmashauri yetu kwa manufaa ya Manispaa ya Kigamboni".Alisema Meya

Diwani wa Kata ya Kimbiji Mhe.Sanya Muhidini  Bunaya kwa niaba ya madiwani alizungumza kwa masikitiko na kusema kuwa kupitia kamati ya fedha,  iliizinishwa fedha ili kuweza kupima eneo hilo ambalo tayari lipo kwenye mpango, sasa haiwezekani kamishana atuandikie eneo hilo kuwa  benki ya ardhi  na kwamba hatutahusika nalo tena .

"kwanini tuwe tunaingiliwa kwenye maeneo ambayo tayari sisi tumepanga kwa matumizi  kwa manufaa ya wanakigamboni wizara inavichukua, sisi leo tunaomba na tunatoa tamko kuwa viwanja hivyo vinne tunamuomba Waziri kupitia kwa katibu mkuu viwanja hivi tunavihitaji kwa matumizi ya Halmshauri ya Manispaa ya Kigamboni" Alisema Bunaya.

Kikao cha Baraza la Madiwani kilifanyika juzi kwenye ukumbi wa Shule ya Sekondari Kisota.

Kaimu Mkurugenzi Ndg.David Sukali akitoa ufafanuzi wa barua iliyotoka kwa Kamishna wa Ardhi.

Baadhi ya Waheshimiwa Madiwani wakisikiliza kwa makini kikao cha Baraza

Diwani wa Kata ya Kimbiji Mhe. Sanya Bunaya akitoa masikitiko yake ya kutwaliwa kwa viwanja hivyo

Watumishi wakisikiliza kwenye mkutano wa Baraza

Mastahiki Meya wa Manispaa ya Kigamboni Mhe.Maabad Hoja akizungumza kwenye kikao cha baraza hilo.

Waheshimiwa Madiwani wakifatilia kikao cha Baraaza.

Matangazo

  • Tangazo la Frem za Biashara, Soko la Kibada February 26, 2025
  • Tangazo la kuitwa kwenye usaili nafasi ya mwendesha mashine ya Bayometriki na Mwandishi msaidizi February 24, 2025
  • Tangazo la uteuzi wa wajumbe wa bodi ya Afya March 26, 2025
  • Tangazo la kuitwa kazini nafasi ya mwendesha mashine ya Bayometriki na Mwandishi msaidizi March 12, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RAIS WA ZANZIBAR NA MWENYEKITI WA BARAZA LA MAPINDUZI MHE. DKT. HUSSEIN ALI MWINYI AMEWEKA JIWE LA MSINGI UJENZI WA BARABARA YA KIBADA - MWASONGA

    April 25, 2025
  • MANISPAA YA KIGAMBONI IMEPOKEA VITI MWENDO 35 NYENYE THAMANI YA TSH MIL 8

    April 08, 2025
  • MKANDARASI TOKA SUMA JKT ATAKIWA KUANZA MAPEMA MAANDALIZI YA UJENZI WA KITUO CHA AFYA CHA TUNGI

    April 08, 2025
  • Mwenyekiti wa Tume Huru ya Uchaguzi Tanzania, Jaji wa Rufaa Mhe. Jacobs Mwambegele amefanya ziara ndani ya Manispaa ya Kigamboni

    March 22, 2025
  • Angalia Zote

Video

Makala maalumu ya utekelezaji wa Miradi ya maendeleo ndani ya Manispaa ya Kigamboni
Video zingine

Kurasa za karibu

  • Municipal councilors
  • Kigamboni Municipal History
  • Investment Opportunities
  • Fomu ya Maombi ya Kiwanja
  • Huduma za Afya na Orodha ya Vituo vya kutolea Huduma za Afya

Kurasa Mashuhuri

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • President's Office Regional Administration and Local Government
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani

Wasiliana Nasi

    Gezaulole Kata ya Somangila, Kigamboni

    Anuani ya Posta: 36009 Dar es Salaam

    Simu: +255222928468

    Simu ya Mkononi: +255222928468

    Bara pepe: info@kigambonimc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki©2017 Manispaa ya Kigamboni . Haki zote Zimehifadhiwa