• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI
HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Care Values
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu ya awali na Msingi
      • Kilima mifugo na umwagiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu Sekondary
      • Mipango na uratibu
      • Utawala na usimamizi wa Rasilimali watu
      • Viwanda biashara na Uwekezaji
      • Miundombinu ,Vijijini na Mjini
      • Huduma za Afya, Ustawi wa jamii na Lishe
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
        • Mawasiliano Serikalini
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • TEHAMA
      • Mkaguzi wa ndani
      • Usimamazi wa Manunuzi
      • Maliasili na uhifadhi wa Mazingira
      • Fedha na uhasibu
      • Usimamizi na usafi wa Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Elimu
    • Utumishi
    • Huhuma za Kisheria
    • Usafi wa mazingira na udhibiti wa taka ngumu
    • Michezo na Sanaa
  • Madiwani
    • Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipangomji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
      • Huduma za jamii
    • Ratiba za Vikao
      • Vikao vya Waheshimiwa
      • Kuonana na Meya
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
      • Miradi ya Sasa
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Picha
    • Hotuba
    • Gazeti la Mtandaoni
    • Vipeperushi
  • Mifumo

Baraza la Madiwani laiomba Wizara ya Ardhi kuliachia eneo la Tungi (Viwandani) kuwa Miliki halali ya Kigamboni

Posted on: July 27th, 2021

Baraza la madiwani kwa Pamoja leo limeomba wizara ya ardhi kuliachia eneo la tungi (eneo la viwanda) ambalo Manispaa lilijipangia matumizi kwa lengo la kuongeza mapato kwa kutumia wawekezaji  baada ya jitihada  za awali kutoleta matokeo chanya

Akizungumza kwa niaba ya madiwani mstahiki Meya Mhe. Ernest Mafimbo  amesema ni takribani miaka miwili wamekuwa wakifuatlia umiliki wa eneo hilo ambalo lipo ndani ya Manispaa ili kuweza  kulitumia kwani kwa sasa eneo lile limeonekana  kutokuwa na  chochote kinachoendelea zaidi ya kulundikwa takataka.

“ Tumewaelekeza watendaji kurudi tena wizarani ikiwezekana wamfikie hadi Waziri na  kuona namna bora ambayo inaweza kufanyika ili lile eneo liweze kuwa miliki halali kwa Manispaa kwani mpango wa matumizi tulionao ni Mzuri na kwakiasi kikubwa umelenga kuongeza Mapato yatakoyotuwezesha kutekeleza miradi yetu ya maendeleo”Alisema Meya

Kwa upande wake Mkurugenzi wa Manispaa ya Kigamboni Erasto Kiwale akizungumzia mafanikio ya Mwaka wa fedha uliopita na mipango ya mwaka wa fedha ujao  amewashukuru Waheshimiwa Madiwani Pamoja na watendaji kwa ujumla kwa namna ambavyo wameweza kushirikiana kwenye suala la utekelezaji  wa miradi ya maendeleo hususani katika ukusanyaji mapato kwa kufikia 109%.

 Aidha pia ameishukuru sana Serikali kuu kwa  kuendelea kuwezesha utekelezaji wa shughuli mbalimbali za Manispaa kwa kuipatia fedha  zaidi ya asilimia 94 ambazo zilielekezwa kwenye sekta ya elimu, ambapo  kwenye elimu bila malipo Elimu Msingi Mil.400 , Elimu sekondari  zaidi ya Bil.1, Sekta ya afya kwa kuongeza ujenzi wa wodi 3 Hospitalini  milion 500, milioni 150 kwaajili ya kuendeleza Zahanati na  ujenzi wa vituo vya afya 2 vya tundwi songani milioni 400 Pamoja na chekeni mwasonga milioni 500.

Ameongeza kuwa Sekta ya elimu imekuwa na changamoto kubwa sababu ya ongezeko la wanafunzi kutokana na elimu bila malipo kama ambavyo taarifa ilivyoonesha hivyo  tumejipanga kuhakikisha tunaboresha miundombinu kwa kutenga Milioni 800 kutoka mapato ya ndani  kwa elimu Msingi na Sekondari ambalo pia ni agizo la  Serikali kupitia TAMISEMI.

Kwa upande wa Miundombinu ya barabara na mitaro amesema  imekuwa ni changamoto nyingine kubwa kwani kwa awamu zilizopita Kigamboni haikuweza kuwekwa kwenye miradi ya DMDP na ilibaki nyuma sana sababu ya ule mpango wa KDA ambao haukuruhusu uendelezaji Hivyo  kama Manispaa imeweka bajeta ndogo  kwa kuanzia kama Mil 144 ambazo zitaelekezwa kwenye kusaidia na itaendelea kuongezwa kadri ya mapato yatakavyokuwa yanaongezeka.

Mkutano wa Baraza wa kufunga mwaka wa fedha 2020/2021 limefanyika leo kwenye ukumbi wa Manispaa ya Kigamboni.


Mkurugenzi wa Manispaa Erasto Kiwale akielezea mafanikio na mikakati ya utekelezaji wa miradi kwa mwaka wa fedha 2020/2021



Waheshimiwa Madiwani wakifatilia kwa makini uwasilishwaji wa taarifa ya kufunga mwaka wa fedha 2020/2021



Wataalamu wa Manispaa wakifatilia uwasilishwaji wa taarifa kwa makini kwenye ukumbi wa Manispaa Leo.



Diwani wa kata ya Kibada akichangia mada Mara baada ya uwasilishwaji wa taarifa ya kufunga mwaka wa fedha 2020/2021



Wataalamu wa Manispaa wakifatilia uwasilishwaji wa taarifa.



Diwani wa Kata ya Kigamboni Mhe.Dotto Msawa akiwasilisha maeleekezo ya kurudi tena Wizarani na kuomba umiliki wa eneo la Tungi (Viwandani)

Matangazo

  • Tangazo la Frem za Biashara, Soko la Kibada February 26, 2025
  • Tangazo la kuitwa kwenye usaili nafasi ya mwendesha mashine ya Bayometriki na Mwandishi msaidizi February 24, 2025
  • Tangazo la uteuzi wa wajumbe wa bodi ya Afya March 26, 2025
  • Tangazo la kuitwa kazini nafasi ya mwendesha mashine ya Bayometriki na Mwandishi msaidizi March 12, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RAIS WA ZANZIBAR NA MWENYEKITI WA BARAZA LA MAPINDUZI MHE. DKT. HUSSEIN ALI MWINYI AMEWEKA JIWE LA MSINGI UJENZI WA BARABARA YA KIBADA - MWASONGA

    April 25, 2025
  • MANISPAA YA KIGAMBONI IMEPOKEA VITI MWENDO 35 NYENYE THAMANI YA TSH MIL 8

    April 08, 2025
  • MKANDARASI TOKA SUMA JKT ATAKIWA KUANZA MAPEMA MAANDALIZI YA UJENZI WA KITUO CHA AFYA CHA TUNGI

    April 08, 2025
  • Mwenyekiti wa Tume Huru ya Uchaguzi Tanzania, Jaji wa Rufaa Mhe. Jacobs Mwambegele amefanya ziara ndani ya Manispaa ya Kigamboni

    March 22, 2025
  • Angalia Zote

Video

Makala maalumu ya utekelezaji wa Miradi ya maendeleo ndani ya Manispaa ya Kigamboni
Video zingine

Kurasa za karibu

  • Municipal councilors
  • Kigamboni Municipal History
  • Investment Opportunities
  • Fomu ya Maombi ya Kiwanja
  • Huduma za Afya na Orodha ya Vituo vya kutolea Huduma za Afya

Kurasa Mashuhuri

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • President's Office Regional Administration and Local Government
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani

Wasiliana Nasi

    Gezaulole Kata ya Somangila, Kigamboni

    Anuani ya Posta: 36009 Dar es Salaam

    Simu: +255222928468

    Simu ya Mkononi: +255222928468

    Bara pepe: info@kigambonimc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki©2017 Manispaa ya Kigamboni . Haki zote Zimehifadhiwa