• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI
HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Care Values
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu ya awali na Msingi
      • Kilima mifugo na umwagiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu Sekondary
      • Mipango na uratibu
      • Utawala na usimamizi wa Rasilimali watu
      • Viwanda biashara na Uwekezaji
      • Miundombinu ,Vijijini na Mjini
      • Huduma za Afya, Ustawi wa jamii na Lishe
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
        • Mawasiliano Serikalini
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • TEHAMA
      • Mkaguzi wa ndani
      • Usimamazi wa Manunuzi
      • Maliasili na uhifadhi wa Mazingira
      • Fedha na uhasibu
      • Usimamizi na usafi wa Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Elimu
    • Utumishi
    • Huhuma za Kisheria
    • Usafi wa mazingira na udhibiti wa taka ngumu
    • Michezo na Sanaa
  • Madiwani
    • Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipangomji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
      • Huduma za jamii
    • Ratiba za Vikao
      • Vikao vya Waheshimiwa
      • Kuonana na Meya
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
      • Miradi ya Sasa
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Picha
    • Hotuba
    • Gazeti la Mtandaoni
    • Vipeperushi
  • Mifumo

Bandari ya Dar es Salaam yatoa Tsh Mil 10 kwaajili ya ujenzi wa Uzio, Hospitali ya Wilaya ya Kigamboni

Posted on: September 15th, 2023

Katibu Tawala wa Wilaya ya Kigamboni Bi. Pendo Mahalu ameishukuru Mamlaka ya Bandari ya Dar es Salaam kwa kutoa msaada wa vifaa tiba pamoja na fedha taslimu Tsh Mil 10 ambazo zimetolewa  kwajili ya ujenzi wa Uzio kwenye eneo la  Hospitali ya Wilaya ya Kigamboni (KDH)  pamoja na kuboresha utoaji wa huduma ya Afya Hospitali hapo.


Bi. Pendo Mahalu ametoa shukrani hizo leo Septemba 15. 2023 katika hafla fupi ya makabidhiano iliyofanyika kwenye uwanja wa Hospitali ya Wilaya ya Kigamboni ambapo alipokea msaada huo kwa niamba ya Mkuu wa Wilaya ya Kigamboni Mheshimiwa Halima Bulembo.


" Sisi kama kama Wilaya kwakweli tunaishukuru Mamlaka ya Bandari ya Dar es Salaam kwa msaada ambao wametoa na tunaahidi fedha hizi zitakwenda kufanya lengo ambalo limekusudiwa likiwa ni la kujenga uzio,  pia vifaa tiba vitakwenda kutumiwa na wagonjwa au wahitaji ambao watakuja kupata huduma katika Hospitali zetu."  Alisema


Sambamba na hilo Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya  Bandari ya Dar es Salaam Ndugu Mrisho Selemani Mrisho amesema wametoa msaada huo ikiwa ni maadhimisho ya miaka 18 ya kuanzishwa kwa Mamalaka ya Bandari Tanzania


Pia amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dokt Samia Suluhu Hassan kwa juhudi zake za kuboresha Badari ya Dar es Salaam kwa lengo la kuongeza mapato ya bandari na Taifa kwa ujumla.


Aidha amesema Mamlaka ya Bandari ya Dar es Salaam itaendelea kushirikiana na jamii kwa la kuboresha huduma mbalimbali katika sekta ya Afya pamoja na Elimu.


Kwa upande mwingine Mkurugenzi wa Manispaa ya Kigamboni Ndg Erasto Kiwale ameishukuru Mamlaka hiyo na amewaomba kuendelea kutoa Msaada kwa kuangalia Sekta nyingine hususani katika elimu ambapo miundombinu bado inahitaji kuboreshwa.


Hafla hiyo ilihitimishwa kwa zoezi la upandaji wa Miti Hspitalini hapo ambapo jumla ya miti 200 ilipandwa.





Matangazo

  • Tangazo la Frem za Biashara, Soko la Kibada February 26, 2025
  • Tangazo la kuitwa kwenye usaili nafasi ya mwendesha mashine ya Bayometriki na Mwandishi msaidizi February 24, 2025
  • Tangazo la uteuzi wa wajumbe wa bodi ya Afya March 26, 2025
  • Tangazo la kuitwa kazini nafasi ya mwendesha mashine ya Bayometriki na Mwandishi msaidizi March 12, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RAIS WA ZANZIBAR NA MWENYEKITI WA BARAZA LA MAPINDUZI MHE. DKT. HUSSEIN ALI MWINYI AMEWEKA JIWE LA MSINGI UJENZI WA BARABARA YA KIBADA - MWASONGA

    April 25, 2025
  • MANISPAA YA KIGAMBONI IMEPOKEA VITI MWENDO 35 NYENYE THAMANI YA TSH MIL 8

    April 08, 2025
  • MKANDARASI TOKA SUMA JKT ATAKIWA KUANZA MAPEMA MAANDALIZI YA UJENZI WA KITUO CHA AFYA CHA TUNGI

    April 08, 2025
  • Mwenyekiti wa Tume Huru ya Uchaguzi Tanzania, Jaji wa Rufaa Mhe. Jacobs Mwambegele amefanya ziara ndani ya Manispaa ya Kigamboni

    March 22, 2025
  • Angalia Zote

Video

Makala maalumu ya utekelezaji wa Miradi ya maendeleo ndani ya Manispaa ya Kigamboni
Video zingine

Kurasa za karibu

  • Municipal councilors
  • Kigamboni Municipal History
  • Investment Opportunities
  • Fomu ya Maombi ya Kiwanja
  • Huduma za Afya na Orodha ya Vituo vya kutolea Huduma za Afya

Kurasa Mashuhuri

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • President's Office Regional Administration and Local Government
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani

Wasiliana Nasi

    Gezaulole Kata ya Somangila, Kigamboni

    Anuani ya Posta: 36009 Dar es Salaam

    Simu: +255222928468

    Simu ya Mkononi: +255222928468

    Bara pepe: info@kigambonimc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki©2017 Manispaa ya Kigamboni . Haki zote Zimehifadhiwa