• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI
HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Care Values
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu ya awali na Msingi
      • Kilima mifugo na umwagiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu Sekondary
      • Mipango na uratibu
      • Utawala na usimamizi wa Rasilimali watu
      • Viwanda biashara na Uwekezaji
      • Miundombinu ,Vijijini na Mjini
      • Huduma za Afya, Ustawi wa jamii na Lishe
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
        • Mawasiliano Serikalini
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • TEHAMA
      • Mkaguzi wa ndani
      • Usimamazi wa Manunuzi
      • Maliasili na uhifadhi wa Mazingira
      • Fedha na uhasibu
      • Usimamizi na usafi wa Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Elimu
    • Utumishi
    • Huhuma za Kisheria
    • Usafi wa mazingira na udhibiti wa taka ngumu
    • Michezo na Sanaa
  • Madiwani
    • Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipangomji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
      • Huduma za jamii
    • Ratiba za Vikao
      • Vikao vya Waheshimiwa
      • Kuonana na Meya
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
      • Miradi ya Sasa
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Picha
    • Hotuba
    • Gazeti la Mtandaoni
    • Vipeperushi
  • Mifumo

ATUTAMVUMILIA YEYOTE ANAYEJIHUSISHA NA UVAMIZI KATIKA MAENEO YASIYO RASMI - DC BULEMBO

Posted on: June 13th, 2023

" *Kumekuwa na tabia ya baadhi ya Viongozi kuuza maeneo yasiyo rasmi na pia wananchi wenyewe kuvamia maeneo yasiyo rasmi kama mabondeni na kwenda kufanya shughuli mbalimbali, maeneo ya open space, maeneo ya makaburi na hata maeneo ya mashuleni na wengine kwenda kujenga kabisa nyumba zao za makazi, niwaambie hilo ni kosa kisheria na hatutamvumilia yeyote anayejihusisha na suala hilo na tukikubaini tutakuchukulia hatua za kisheria* "

" *Natoa agizo kwenu wote mliovamia maeneo yasiyo rasmi kuondoka mara moja na nitoe rai kwenu wananchi kuwa Mabalozi katika hili na tumeanza kuchukua hatua kwa kuwaandikia barua wale wote waliovamia maeneo hayo kuondoka mara moja* "

Hayo yamesemwa na Mkuu wa Wilaya ya Kigamboni Mhe. Halima Bulembo akiwa kwenye muendelezo wa ziara yake ya mtaa kwa mtaa ambapo leo tarehe 4 Julai, 2023 amefika katika mtaa wa Kichangani, Sokoni na Uvumba katika Kata ya Kibada.

DC Bulembo pia ametoa rai kwa wananchi kushiriki mazoezi ya usafi wa pamoja kwa maslai ya kutunza mazingira " *Tunakuja na sheria ndogondogo zitakazomuamrisha kila mwananachi kufanya usafi eneo la pembenne za mazingira anayoishi, lazima mfanye usafi tutunze mazingira yetu na hii ni Ajenda ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam lazima itekelezwe, tunakuja mara nyingi kwenye mazoezi ya usafi lakini hamjitokezi, rai yangu kwenu ni kujitokeza na kufanya usafi na tutunze vyanzo vya maji na kupanda miti* " Alisema DC Bulembo.

Katika hatua nyingine, DC Bulembo ametoa muda wa mwezi mmoja kwa Afisa Michezo Manispaa ya Kigamboni hadi kufikia tarehe 6 mwezi Agosti kiwanja cha michezo cha kibada kiwe kimerekebishwa ili kuwezesha Vijana kutumia kwa michezo kwani michezo ni Afya na ni Ajira.

Naye Kaimu Mkurugenzi Bw. Juvenaris Mauna ametoa wito kwa Wananchi na Viongozi wa Serikali za mitaa kutobadilisha matumizi ya maeneo yaliyotengwa kwa huduma za kijamii kiholela.

Katika kujibu kero mbalimbali za wananchi, Meneja TANESCO amesema ndani ya miezi 2 huduma ya umeme itakuwa imefika maeneo yote ya block D Kibada na sasa nguzo zimeshaanza kupelekwa hadi maeneo ya Block 5.

Matangazo

  • Tangazo la Frem za Biashara, Soko la Kibada February 26, 2025
  • Tangazo la kuitwa kwenye usaili nafasi ya mwendesha mashine ya Bayometriki na Mwandishi msaidizi February 24, 2025
  • Tangazo la uteuzi wa wajumbe wa bodi ya Afya March 26, 2025
  • Tangazo la kuitwa kazini nafasi ya mwendesha mashine ya Bayometriki na Mwandishi msaidizi March 12, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RAIS WA ZANZIBAR NA MWENYEKITI WA BARAZA LA MAPINDUZI MHE. DKT. HUSSEIN ALI MWINYI AMEWEKA JIWE LA MSINGI UJENZI WA BARABARA YA KIBADA - MWASONGA

    April 25, 2025
  • MANISPAA YA KIGAMBONI IMEPOKEA VITI MWENDO 35 NYENYE THAMANI YA TSH MIL 8

    April 08, 2025
  • MKANDARASI TOKA SUMA JKT ATAKIWA KUANZA MAPEMA MAANDALIZI YA UJENZI WA KITUO CHA AFYA CHA TUNGI

    April 08, 2025
  • Mwenyekiti wa Tume Huru ya Uchaguzi Tanzania, Jaji wa Rufaa Mhe. Jacobs Mwambegele amefanya ziara ndani ya Manispaa ya Kigamboni

    March 22, 2025
  • Angalia Zote

Video

Makala maalumu ya utekelezaji wa Miradi ya maendeleo ndani ya Manispaa ya Kigamboni
Video zingine

Kurasa za karibu

  • Municipal councilors
  • Kigamboni Municipal History
  • Investment Opportunities
  • Fomu ya Maombi ya Kiwanja
  • Huduma za Afya na Orodha ya Vituo vya kutolea Huduma za Afya

Kurasa Mashuhuri

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • President's Office Regional Administration and Local Government
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani

Wasiliana Nasi

    Gezaulole Kata ya Somangila, Kigamboni

    Anuani ya Posta: 36009 Dar es Salaam

    Simu: +255222928468

    Simu ya Mkononi: +255222928468

    Bara pepe: info@kigambonimc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki©2017 Manispaa ya Kigamboni . Haki zote Zimehifadhiwa