Posted on: August 14th, 2017
Halmashauri ya Manispaa ya Kigamboni imeadhimisha siku ya Vijana Duniani kwa kufanya usafi katika Zahanati ya Kigamboni na kasha kushiriki mazoezi ya viungo katika viwanja vya shule ya msingi mji mwem...
Posted on: July 28th, 2017
Waziri wa Afya, Maendeleo ya jamii, jinsia, wazee na watoto Mhe Ummy Mwalim, leo tarehe 27 July 2017 amezindua utoaji wa vitambulisho vya matibabu bure kwa wazee wa wilaya ya Kigamboni.na kuwapo...
Posted on: May 30th, 2017
Jumla ya Miradi yenye thamani ya shilingi za Kitanzania Bilioni 229,422,929,552 imezinduliwa na mbio za Mwenge kitaifa katika wilaya ya Kigamboni.
Miradi hiyo inajumuhisha miradi mipya iliyow...