• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI
HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Care Values
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu ya awali na Msingi
      • Kilima mifugo na umwagiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu Sekondary
      • Mipango na uratibu
      • Utawala na usimamizi wa Rasilimali watu
      • Viwanda biashara na Uwekezaji
      • Miundombinu ,Vijijini na Mjini
      • Huduma za Afya, Ustawi wa jamii na Lishe
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
        • Mawasiliano Serikalini
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • TEHAMA
      • Mkaguzi wa ndani
      • Usimamazi wa Manunuzi
      • Maliasili na uhifadhi wa Mazingira
      • Fedha na uhasibu
      • Usimamizi na usafi wa Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Elimu
    • Utumishi
    • Huhuma za Kisheria
    • Usafi wa mazingira na udhibiti wa taka ngumu
    • Michezo na Sanaa
  • Madiwani
    • Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipangomji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
      • Huduma za jamii
    • Ratiba za Vikao
      • Vikao vya Waheshimiwa
      • Kuonana na Meya
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
      • Miradi ya Sasa
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Picha
    • Hotuba
    • Gazeti la Mtandaoni
    • Vipeperushi
  • Mifumo

Watumishi wa Manispaa ya Kigamboni watakiwa kutoa huduma bora kwa Wananchi

Posted on: June 13th, 2025


Mkurugenzi wa Manispaa ya Kigamboni Bw. Erasto Kiwale amewaasa watumishi wa manispaa ya Kigamboni kuzingatia kutoa huduma bora kwa wateja wanaofika Halmashauri kupata huduma.


Bw. Kiwale ameyasema hayo leo Juni 13, 2025 katika Ofisi za Mkurugenzi wakati akikabidhi vyeti kwa watumishi wa Manispaa ya Kigamboni waliopatiwa mafunzo ya huduma kwa wateja wa ndani na nje wa Taasisi.


“Sifa nzuri ya Taasisi inategemea na mtu mmoja anavyompokea na kumhudumia mteja, ukumhudumia vizuri anakwenda kuisemea vizuri Taasisi, hivyo tuzingatie sana namna ambavyo tuwahudumia wateja wetu kama ilivyo kwenye Mkataba wa Huduma kwa Wateja, kuanzia lugha pamoja na ukarimu, tukizingatia hayo mahusiano yetu na tunaowahudumia yataimarika” amesema Bw. Kiwale.


Aidha Bw. Kiwale imeipongeza idara ya Utawala na Usimamizi wa Rasilimaliwatu kuendelea kwa usimamizi mzuri na miongozo inayotolewa kwa watumishi hao wanaokutana na wateja kabla ya kwenda kupata huduma mbalimbali na kusisitiza elimu hiyo iwafikie watumishi wote.


Akitoa neno la Shukrani Bi. Herieth Gwimo, Mwandishi mwendesha Ofisi ambaye ni miongoni mwa watumishi waliopata mafunzo ameshukuru kwa fursa ya elimu waliyoipata huku akielezea namna elimu hiyo ilivyowabadilisha katika utendaji kazi.


Ikiwa ni muendelezo wa kuboresha utoaji wa huduma na ili kuongeza ufanisi Halmashauri ya Manispaa ya Kigamboni imewapeleka watumishi Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere kuwanoa eneo la huduma kwa wateja ili kuhakikisha inatoa huduma  kasi na Ubora wa hali ya juu

Matangazo

  • Tangazo la Frem za Biashara, Soko la Kibada February 26, 2025
  • Tangazo la kuitwa kwenye usaili nafasi ya mwendesha mashine ya Bayometriki na Mwandishi msaidizi February 24, 2025
  • Tangazo la uteuzi wa wajumbe wa bodi ya Afya March 26, 2025
  • Tangazo la kuitwa kazini nafasi ya mwendesha mashine ya Bayometriki na Mwandishi msaidizi March 12, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Watumishi wa Manispaa ya Kigamboni watakiwa kutoa huduma bora kwa Wananchi

    June 13, 2025
  • Manispaa ya Kigamboni yatwa Makombe 9 UMITASHUMTA na 15 UMISSETA ngazi ya Mkoa

    June 12, 2025
  • RAIS WA ZANZIBAR NA MWENYEKITI WA BARAZA LA MAPINDUZI MHE. DKT. HUSSEIN ALI MWINYI AMEWEKA JIWE LA MSINGI UJENZI WA BARABARA YA KIBADA - MWASONGA

    April 25, 2025
  • MANISPAA YA KIGAMBONI IMEPOKEA VITI MWENDO 35 NYENYE THAMANI YA TSH MIL 8

    April 08, 2025
  • Angalia Zote

Video

Makala maalumu ya utekelezaji wa Miradi ya maendeleo ndani ya Manispaa ya Kigamboni
Video zingine

Kurasa za karibu

  • Municipal councilors
  • Kigamboni Municipal History
  • Investment Opportunities
  • Fomu ya Maombi ya Kiwanja
  • Huduma za Afya na Orodha ya Vituo vya kutolea Huduma za Afya

Kurasa Mashuhuri

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • President's Office Regional Administration and Local Government
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani

Wasiliana Nasi

    Gezaulole Kata ya Somangila, Kigamboni

    Anuani ya Posta: 36009 Dar es Salaam

    Simu: +255222928468

    Simu ya Mkononi: +255222928468

    Bara pepe: info@kigambonimc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki©2017 Manispaa ya Kigamboni . Haki zote Zimehifadhiwa