• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI
HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Care Values
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu ya awali na Msingi
      • Kilima mifugo na umwagiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu Sekondary
      • Mipango na uratibu
      • Utawala na usimamizi wa Rasilimali watu
      • Viwanda biashara na Uwekezaji
      • Miundombinu ,Vijijini na Mjini
      • Huduma za Afya, Ustawi wa jamii na Lishe
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
        • Mawasiliano Serikalini
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • TEHAMA
      • Mkaguzi wa ndani
      • Usimamazi wa Manunuzi
      • Maliasili na uhifadhi wa Mazingira
      • Fedha na uhasibu
      • Usimamizi na usafi wa Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Elimu
    • Utumishi
    • Huhuma za Kisheria
    • Usafi wa mazingira na udhibiti wa taka ngumu
    • Michezo na Sanaa
  • Madiwani
    • Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipangomji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
      • Huduma za jamii
    • Ratiba za Vikao
      • Vikao vya Waheshimiwa
      • Kuonana na Meya
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
      • Miradi ya Sasa
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Picha
    • Hotuba
    • Gazeti la Mtandaoni
    • Vipeperushi
  • Mifumo

Walimu wa Sayansi hesabu na kingereza Wapewa Mafunzo na Shirika la Good Neibhours

Posted on: June 12th, 2024

Shirika lisilo la kiserikali linalojihusisha na utoaji wa misaada kwa Jamii Good Neibhours Tanzania imeandaa Mafunzo maalumu kwa walimu wa masomo ya Sayansi,Hesabu na Kiingereza kwa shule za Sekondari Kimbiji na Pembamnanzi ,Mafunzo ni ya siku tatu kuanzia tarehe 11 June-13 June  yanayofanyika katika fukwe ya bahari ukumbi wa Barakuda


Aidha lengo la kuandaa Mafunzo hayo ni kuwajengea walimu hao uwezo wa Umahiri katika Mtaala Mpya ulioboreshwa  katika  masomo  na ufundishaji.


 Mafunzo hayo ambayo yalifunguliwa na Bi,Twidike Ntwima Afisa Elimu kata ya Kimbiji Amesema


"Kipekee nawapongeza na kuwashukuru  sana shirika la Good Neibhours Tanzania Kwa kuandaa Mafunzo haya ya kuwajengea uwezo walimu wa masomo ya Sayansi,Hesabu na  Kiingereza na ameomba   wawe na muendelezo wa kuandaa semina  mara kwa mara kwani kupitia Mafunzo haya wanafunzi watanufaika kwa kuongeza ufaulu kwa kupitia Ujuzi ,maarifa na mbinu walizozipata walimu katika mafunzo.


Pia nimewataka  walimu waliopata  Mafunzo haya yakawe chachu kwa walimu wengine na pia kuwafundisha wanafunzi wa juhudi zote na kutumia mtaala wa Umahiri yaani  (Competence -Based Curriculum),Alisema Bi Twidike Ntwima Afisa Elimu kata ya Kimbiji.


"Kipekee kama shirika Letu lilivyo Tunaendelea kutoa misaada mbalimbali katika Jamii yetu leo tumeandaa Mafunzo haya maalum  kwa walimu wa 20 wa Sekondari Kimbiji na Pembamnanzi Lengo kuu ni kuwajengea uwezo kuweza kutumia mbinu mbalimbali

za mtaala wa Umahiri tunafahamu Mtaala  imedhamiria wanafunzi wafundishwe mbinu shirikishi.


Pia kuwajengea uwezo wa namna ya kutumia mihutasari kwani ndiyo msingi wa masomo katika ufundishaji,, Alisema Bi.Anameleni Christian mkufunzi mwandamizi wa shirika la Good Neibhours

Matangazo

  • Tangazo la Frem za Biashara, Soko la Kibada February 26, 2025
  • Tangazo la kuitwa kwenye usaili nafasi ya mwendesha mashine ya Bayometriki na Mwandishi msaidizi February 24, 2025
  • Tangazo la uteuzi wa wajumbe wa bodi ya Afya March 26, 2025
  • Tangazo la kuitwa kazini nafasi ya mwendesha mashine ya Bayometriki na Mwandishi msaidizi March 12, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RAIS WA ZANZIBAR NA MWENYEKITI WA BARAZA LA MAPINDUZI MHE. DKT. HUSSEIN ALI MWINYI AMEWEKA JIWE LA MSINGI UJENZI WA BARABARA YA KIBADA - MWASONGA

    April 25, 2025
  • MANISPAA YA KIGAMBONI IMEPOKEA VITI MWENDO 35 NYENYE THAMANI YA TSH MIL 8

    April 08, 2025
  • MKANDARASI TOKA SUMA JKT ATAKIWA KUANZA MAPEMA MAANDALIZI YA UJENZI WA KITUO CHA AFYA CHA TUNGI

    April 08, 2025
  • Mwenyekiti wa Tume Huru ya Uchaguzi Tanzania, Jaji wa Rufaa Mhe. Jacobs Mwambegele amefanya ziara ndani ya Manispaa ya Kigamboni

    March 22, 2025
  • Angalia Zote

Video

Makala maalumu ya utekelezaji wa Miradi ya maendeleo ndani ya Manispaa ya Kigamboni
Video zingine

Kurasa za karibu

  • Municipal councilors
  • Kigamboni Municipal History
  • Investment Opportunities
  • Fomu ya Maombi ya Kiwanja
  • Huduma za Afya na Orodha ya Vituo vya kutolea Huduma za Afya

Kurasa Mashuhuri

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • President's Office Regional Administration and Local Government
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani

Wasiliana Nasi

    Gezaulole Kata ya Somangila, Kigamboni

    Anuani ya Posta: 36009 Dar es Salaam

    Simu: +255222928468

    Simu ya Mkononi: +255222928468

    Bara pepe: info@kigambonimc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki©2017 Manispaa ya Kigamboni . Haki zote Zimehifadhiwa