Halmashauri ya Manispaa ya Kigamboni imefanikiwa kutwaa makombe 9 katika mashindano ya UMITASHUMTA na makombe 15 katika mashindano ya UMISSETA ngazi ya Mkoa wakati wa hafla fupi ya makabidhiano ya Makombe hayo
iliyofanyika katika uwanja wa Chuo cha Ualimu DUCE.
Akizungunza wakati wa kupokea Makombe hayo Mkuu wa Kitengo cha Utamaduni Sanaa na Michezo Bi. Adolphina Hamis amesema mashindano ya UMITASHUMTA na UMISSETA ngazi ya Taifa yanatarajia kuanza tarehe 7 hadi 30. Juni 2025 katika kijiji cha Ihemi, Mkoani Iringa
Gezaulole Kata ya Somangila, Kigamboni
Anuani ya Posta: 36009 Dar es Salaam
Simu: +255222928468
Simu ya Mkononi: +255222928468
Bara pepe: info@kigambonimc.go.tz
Haki Miliki©2017 Manispaa ya Kigamboni . Haki zote Zimehifadhiwa