• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI
HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Care Values
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu ya awali na Msingi
      • Kilima mifugo na umwagiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu Sekondary
      • Mipango na uratibu
      • Utawala na usimamizi wa Rasilimali watu
      • Viwanda biashara na Uwekezaji
      • Miundombinu ,Vijijini na Mjini
      • Huduma za Afya, Ustawi wa jamii na Lishe
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
        • Mawasiliano Serikalini
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • TEHAMA
      • Mkaguzi wa ndani
      • Usimamazi wa Manunuzi
      • Maliasili na uhifadhi wa Mazingira
      • Fedha na uhasibu
      • Usimamizi na usafi wa Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Elimu
    • Utumishi
    • Huhuma za Kisheria
    • Usafi wa mazingira na udhibiti wa taka ngumu
    • Michezo na Sanaa
  • Madiwani
    • Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipangomji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
      • Huduma za jamii
    • Ratiba za Vikao
      • Vikao vya Waheshimiwa
      • Kuonana na Meya
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
      • Miradi ya Sasa
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Picha
    • Hotuba
    • Gazeti la Mtandaoni
    • Vipeperushi
  • Mifumo

Katibu Mkuu wa Afya kutoka TAMISEMI afurahishwa na utoaji wa huduma Hospitali ya Vijibweni

Posted on: May 25th, 2019

Katibu Wa Afya kutoka TAMISEMIDk.Dorothy Gwajima amepongeza Halmashauri ya Manispaa ya Kigamboni kwa utendajiKazi na hatua waliyopiga kwenye Ujenzi Wa hospital ya Wilaya na namna utoaji Wahuduma na uboreshwaji Wa mazingira ya Hospitali ya Vijibweni ulivyofanyika. 

Katibu Wa Afya amesema hayo leoalipotembelea Ujenzi Wa hospitali ya Wilaya nautoaji Wa huduma Vijibweni na kueleza kuwa ameridhishwa na hali ya Ujenzi nakwamba hatarajii wakati Wa kukabidhi majengo hayo kuwepo na visingizio Vyakutokukamilika kwa mradi.

Aidha amepongeza hali ya usafi Wahospitali ya VIJIBWENI kuanzia mazingira , hali ya vitanda na magodoro.

Katibu Wa Afya pia ametoa siku 14kwa hospitali zote nchini kuhakikisha zinafanya maboresho ya vitanda, magodorona makava yake ili kutoa huduma bora kwa wagonjwa wanaolazwa .

Mara baada ya kutembelea maabara yavijibweni katibu Wa afya ametoa siku 7 kuhakikisha mashine ya kupimia homoniinapatikana na siku 30 kuhakikisha ufumbuzi Wa chumba kitakachokuwa kinatumikakupima ugonjwa Wa taifodi unapatikana ili wananchi wanaohitaji huduma hizowasipate usumbufu.

Dk.Dorothy amewapongeza timu yausimamizi Wa afya CHMT ya Kigamboni kwa kufanya maamuzi ya kukopa Fedha nakununua mashine ya Xray ambayo itatumika kwenye hospitali ya Vijibweni nakusema kuwa wamethubutu na wanaonesha wanaunga mkono juhudi za Serikali zauboreshaji Wa huduma za Afya. 

Aidha amewataka watumishi Wa afyawaliofanya onesho la ukoaji Wa mama mjamzito aliyekumbwa na ugonjwa Wa kifafacha mimba wakati Wa kujifungua kuandaa makala ya video ili iweze kusambazwakwenye maeneo mengine waweze kujifunza namna ya kuokoa maisha ya mama na mtotoikitokea hali hiyo.

Mwisho Amewataka timu ya usimamiziWa afya ya Wilaya na mkoa kufanya Kazi kwa kushirikiana na kuwa wabunifu katikakutatua changamoto zinazokuwa zinawakabili kwenye maeneo yao ya Kazi.

Dkt. Dorothy Gwajima wa kwanza mbele akiwa amaembatana na Mganaga Mkuu wa Wilaya na wataalamu wengine wakitoka kutazama maendeleo ya  ujenzi wa Hospitali ya Wilaya .

Dkt. Dorothy Gwajima Katikati akiwa ameambata na madakatri na mganag amkuuwa Wilaya (kulia) wakitembelea maeneo ya utoaji wa huduma Hopsitali ya Vijibweni.

Dkt. Dorothy Gwajima akipata maelekezo kutoka kwa wataalamu wa maabara

Dkt. Dorothy Gwajima akitoa maelekezo kwa mfamasia wa Hospitali ya Vijibweni kuhusiana na uagizaji wa dawa ili ziwepo wakati wote.

Dkt. Dorothy Gwajima akizungumza na watumishi wa Hospitali ya Vijibweni mara baada ya kumaliza ziara yake.


Katibu wa Afya Dkt. Dorothy Gwajima akitoa maelekezo kwa watumishi wa hospitali Vijibweni

Picha ya pamoja na watumishi wa Hospitali ya Vijibweni.

Matangazo

  • Tangazo la Frem za Biashara, Soko la Kibada February 26, 2025
  • Tangazo la kuitwa kwenye usaili nafasi ya mwendesha mashine ya Bayometriki na Mwandishi msaidizi February 24, 2025
  • Tangazo la uteuzi wa wajumbe wa bodi ya Afya March 26, 2025
  • Tangazo la kuitwa kazini nafasi ya mwendesha mashine ya Bayometriki na Mwandishi msaidizi March 12, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RAIS WA ZANZIBAR NA MWENYEKITI WA BARAZA LA MAPINDUZI MHE. DKT. HUSSEIN ALI MWINYI AMEWEKA JIWE LA MSINGI UJENZI WA BARABARA YA KIBADA - MWASONGA

    April 25, 2025
  • MANISPAA YA KIGAMBONI IMEPOKEA VITI MWENDO 35 NYENYE THAMANI YA TSH MIL 8

    April 08, 2025
  • MKANDARASI TOKA SUMA JKT ATAKIWA KUANZA MAPEMA MAANDALIZI YA UJENZI WA KITUO CHA AFYA CHA TUNGI

    April 08, 2025
  • Mwenyekiti wa Tume Huru ya Uchaguzi Tanzania, Jaji wa Rufaa Mhe. Jacobs Mwambegele amefanya ziara ndani ya Manispaa ya Kigamboni

    March 22, 2025
  • Angalia Zote

Video

Makala maalumu ya utekelezaji wa Miradi ya maendeleo ndani ya Manispaa ya Kigamboni
Video zingine

Kurasa za karibu

  • Municipal councilors
  • Kigamboni Municipal History
  • Investment Opportunities
  • Fomu ya Maombi ya Kiwanja
  • Huduma za Afya na Orodha ya Vituo vya kutolea Huduma za Afya

Kurasa Mashuhuri

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • President's Office Regional Administration and Local Government
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani

Wasiliana Nasi

    Gezaulole Kata ya Somangila, Kigamboni

    Anuani ya Posta: 36009 Dar es Salaam

    Simu: +255222928468

    Simu ya Mkononi: +255222928468

    Bara pepe: info@kigambonimc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki©2017 Manispaa ya Kigamboni . Haki zote Zimehifadhiwa