HUDUMA ZINAZOTOLEWA
i. Kutoa miongozo na ushauri wa Elimu kwa wanafunzi na wazazi;
ii. Kusimamia na kupitisha uhamisho wa wanafunzi;
iii. Kutoa elimu kwa wanafunzi, wazazi na wananchi kwa ujumla juu ya umuhimu wa Elimu ya sekondari
Gezaulole Kata ya Somangila, Kigamboni
Anuani ya Posta: 36009 Dar es Salaam
Simu: +255222928468
Simu ya Mkononi: +255222928468
Bara pepe: info@kigambonimc.go.tz
Haki MilikiĀ©2017 Manispaa ya Kigamboni . Haki zote Zimehifadhiwa